kwa kwli kilimo cha umwagiliaji kingelikuwa ni moja ya njia kuu ya kuongeza kipata kwa raia wa kawaida kwani tuna mabnde mengi mfano ruvu, rufiji yanafaa kwa kilimo cha mazao tofauti tofauti ambayo yangeuongezea nguvu huu uti wa mggongo wa nchi yetu kwa kiwango kikubwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.