mimi hata kama CCM hawatampitisha EL kugombea urais, na hata kama kwenye orodha ya wagombea urais kwenye karatasi ya kupigia kura hatakuwepo, kwenye kura ya urais ntaandika jina lake hata kama sio mgombe na najua ntakuwa na amani moyoni. EL kitu ingine hiyo. weka mbali na wazembe
Tatizo la watanzania walio wengi wanapenda sana kusikia mapungufu ya mtu kuliko Mazuri yake, pia hata hayo mapungufu yanayosemwa mtu hawezi kuyadhibitisha, tunaitaji mtu wa maamuzi kama Lowassa, miaKA 5 TU INATOSHA NCHI ITARUDI KWENYE MSTARI.
Nimesema chaguo langu ni Lowassa, hao wengine chagua wewe. Kuhusu tuhuma zake weka vielelezo ntakuelewa lakini maneno matupu ni kama unapiga makelele tu.
Habari wanaJF
"Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni"
Ilikuwa hivi: Wiki iliyopita jumanne ilikuwa siku ya idd ambapo tukiwa kwenye hotel moja hivi eneo la mto wa mbu, Monduli tukiwa tunapata lunch mara akaja Lowasa na watu wengine, Kwa kuwa tunafanya kazi za maendeleo kwenye jimbo lake na...
Sasa turudi kwenye ukweli, kwa matokeo haya chadema waraka wa mkumbo ulikuwa kioo mlipaswa kujiangalia na kujikosoa, mtaendelea kutoa malalamiko yaleyale kila uchaguzi. Kama kituo cha uchaguzi chadema inapata kura 2 ndio tuseme zimechachuliwa??????? Ni ujinga kukimbia ukweli, jirudini kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.