Pole, hiyo ni lana ya yule msichana uliyomuacha bila kosa lolote, sio tu kwa sababu ulitoausichanawake hapana. Ni
vile ukumwamba ukweli, wewe baada yakumchoka ukaanza vituko vyako. ungemwambia ukweli usingepata lana yake.
kuna laana nyingi, ya wazazi ya mke n.k. rudi ukamweleze kwamba yeye...
Jamani wana JF,
Mimi ni mama, umri miaka 44 na mume wangu amenipita miaka 9. Mume wangu ni mlevi kupindukia, yeye akisha nunua chakula na kulipia watoto school fees, akipata hela anachowaza ni michepuko na pombe. Kinachonisikitisha ni kwamba wengi anaotembea nao ni mabamaid. Pamoja na kwamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.