Recent content by akajaseh mbambah

  1. A

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Kama kuna ambao walidhania kuwa Mh. Rais atakwama au atasua sua kwenye kuiongoza nchi nadhani mpaka sasa wameona kuwa nchi inasonga mbele and there is no commotion kama ambavyo wengi walitegemea. Hili ni jambo la kumpongeza Mh. Rais na kuendelea kumwombea Afya njema kimwili na kiakili...
  2. A

    Jukumu la Maendeleo ya Mtanzania ni letu sote

    Kama tukitambua kuwa kama wananchi tuna majukumu kadhaa ya kuweza kusaidia kuinua uchumi wa serikali yetu na kusaidia katika ukusanyaji wa kodi. je ni wangapi hukumbuka kudai risiti wanaponunua bidhaa mbalimbali au kupata huduma? Je, tunafahamu ni kiasi gani tunajiibia kwa kutokuwa tayari...
  3. A

    Barua ya wazi kwako Rais Samia Suluhu Hassan

    Tanzania inapaswa kujengwa na watanzania wote wenye nia njema na mapenzi mema kwa nchi.
  4. A

    Barua ya wazi kwako Rais Samia Suluhu Hassan

    Waione Watanzania wote wenye mapenzi mema.
  5. A

    Barua ya wazi kwako Rais Samia Suluhu Hassan

    Kwako Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Salam! Mimi ni Mtanzania mwenye umri wa miaka 40 ambaye nimesoma nchini Tanzania kuanzia shule ya Msingi, Sekondari na pia Chuo Kikuu. Elimu yangu kubwa nimeipata kwa watanzania ndani na nje ya Darasa. Nashukuru katika kuitumikia nchi nimehusika kwa njia...
Back
Top Bottom