Ukweli unabakia kuwa serekal yetu hnabana vyombo vya Habar kwamanufaa yao piA serekal hinataka vyombo vya Habar visiripot Habar nyingine na za serekal ni moja yA udikitetA uchwara
Wala sion sababu yawao kuwa na hofu namna hyo kazi yao kubwa nikulinda amani sasa wao wamegeuka wavuragaj wa amani serekali na jeshi la police [emoji600][emoji600]kwahli amtatuweza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.