Ila hio ambayo ilipelekwa internent kuna tatizo kidogo! Binafsi namshairi huyo kijana kama kunauwezo kidogo aende chuo then baadae a apeal atapata ila kwa sasa akienda board watamkatisha tamaa kabisaa maana wale jamaa wanamajibu ya ajabu sana amboyo huwezi kutegemea kabisaa!
Huyo dogo alietumu kwa njia ya EMS aende na risiti ambayo alipewa pale ems atasikilizwa! Kiukweli bod haiishiwi kabisa maana still kuna watu wanakatwa kila siku pesa ambazo walokopa! Kwa hio anaweza kusikilizwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.