Recent content by ajali5452

  1. A

    Mikopo kwa continuing students

    Basi ikipatikana taarifa yoyote tupeane taarifa!
  2. A

    Mikopo kwa continuing students

    Mmmmmh tuvute subra labda ya kweli maana bodi nao!
  3. A

    Msaada: Application form was not submitted

    Ila hio ambayo ilipelekwa internent kuna tatizo kidogo! Binafsi namshairi huyo kijana kama kunauwezo kidogo aende chuo then baadae a apeal atapata ila kwa sasa akienda board watamkatisha tamaa kabisaa maana wale jamaa wanamajibu ya ajabu sana amboyo huwezi kutegemea kabisaa!
  4. A

    Msaada: Application form was not submitted

    Huyo dogo alietumu kwa njia ya EMS aende na risiti ambayo alipewa pale ems atasikilizwa! Kiukweli bod haiishiwi kabisa maana still kuna watu wanakatwa kila siku pesa ambazo walokopa! Kwa hio anaweza kusikilizwa
  5. A

    Wanaotaka kuandamana kesho HESLB soma hapa

    Pole sana bwana ndugu yangu! Mungu mkubwa na hamtupi mja wake!
  6. A

    Maandamano ya amani kwa waliokosa mkopo HESLB tarehe 15 October

    Ila maisha ya chuo bila mkopo napo no mtihani kwelikweli!
Back
Top Bottom