Chuo kikuu ni intellectual society, km nyie wasomi hamuwezi kujitetea elimu yenu inawasaidieje? Ni uwoga bila shaka wa kufukuzwa kazi, sasa km.ndivyo kusoma kunasaidia nini? Kiwasheni au kwa kuwa sahivi wanafunzi hawapo ndiyo maana anawafanyizia hivyo. Ila Dr. Malasusa asipochukua hatua atakiua...
Lini nyumbu amekuwa na akili? Hayo ni mazuzu tu, chama hakina hata diwani wala mwenyekiti moja wa kitongoji bado hawaoni hata aibu, wamebaki humu JF wakijidanganya. Hakuna chama pale ni kundi la nyumbu km wafuasi wa Joseph Kibwetere wa Uganda. Wana roho ngumu km wendawazimu!
Huyo anayejiita afande ni nani nchi hii mpaka amdhalilishe waziri? Ana ushahidi wa hizo tuhuma? Kwanini hajakamatwa mpaka sahv athibitishe hizo tuhuma? Hizo ni tuhuma kubwa kamateni mfungulieni kesi ya udhalilishaji atakuja kuwalipa mabilioni ambayo hana huyo chokoraa! Hv kwanini mnawaacha watu...
Unajua nani kamteka? Mbona utekaji upo tangia zamani? Watu hutekana kwa mambo yao binafsi, wamedhulumiana, wamechukuliana wake/mume, wapenzi. Kwanini kila wakati tufikirie ni jeshi la polisi? Polisi kazi yao ni kuteka? Hiyo ni siasa za hovyo, kishamba, za maji taka hasa kutoka nyumbu wa chadema.
Afadhali amesema ukweli, marasta ni wavuta bangi. MAUMAU ndiyo njia anayotaka kuitumia? Sasa mnabisha kwamba huyo lofa ni mhaini? Kiukweli amepanic jela ni kubaya!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.