Recent content by AirorokiVava

  1. A

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Wafanyakazi Chuo Kikuu Makumira tunateseka, hatujalipwa mshahara wa Agosti, haturuhusiwi kuomba mkopo benki

    Chuo kikuu ni intellectual society, km nyie wasomi hamuwezi kujitetea elimu yenu inawasaidieje? Ni uwoga bila shaka wa kufukuzwa kazi, sasa km.ndivyo kusoma kunasaidia nini? Kiwasheni au kwa kuwa sahivi wanafunzi hawapo ndiyo maana anawafanyizia hivyo. Ila Dr. Malasusa asipochukua hatua atakiua...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Henry Kilewo: CHADEMA ya sasa sio ile iliyopita, hii achaneni nayo

    Lini nyumbu amekuwa na akili? Hayo ni mazuzu tu, chama hakina hata diwani wala mwenyekiti moja wa kitongoji bado hawaoni hata aibu, wamebaki humu JF wakijidanganya. Hakuna chama pale ni kundi la nyumbu km wafuasi wa Joseph Kibwetere wa Uganda. Wana roho ngumu km wendawazimu!
  3. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Bob Marley aliimba hivi "Ukweli unaweza kuwa ni kosa la Jinai kwa watawala waovu, haijawahi kuwa dhambi dhambi"

    Kwa kipi alichofanya, we ni boya km yeye tu! Mtu anafanya mambo ya kipuuzi km mwehu ndiyo akili?
  4. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Bob Marley aliimba hivi "Ukweli unaweza kuwa ni kosa la Jinai kwa watawala waovu, haijawahi kuwa dhambi dhambi"

    Lioneni hili zombie, hapi sheria iko wapi? Haya majinga ya chadema mpk aibu!
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Bob Marley aliimba hivi "Ukweli unaweza kuwa ni kosa la Jinai kwa watawala waovu, haijawahi kuwa dhambi dhambi"

    Amechanganyikiwa jela ni mbaya, jela ni mateso, ila ameshajifunza vya kutosha akitoka ataacha utoto na ujinga
  6. A

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Nazungumzia comments in general, mbona unakimbilia kutaka kunishambulia na mimi?
  7. A

    JamiiForums Tanzania Afande Sele: Si sahihi Waziri Katambi kumuita Dudu baya kwenye Meza walipokaa wenye tuhuma za Ushoga

    Huyo anayejiita afande ni nani nchi hii mpaka amdhalilishe waziri? Ana ushahidi wa hizo tuhuma? Kwanini hajakamatwa mpaka sahv athibitishe hizo tuhuma? Hizo ni tuhuma kubwa kamateni mfungulieni kesi ya udhalilishaji atakuja kuwalipa mabilioni ambayo hana huyo chokoraa! Hv kwanini mnawaacha watu...
  8. A

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Unajua nani kamteka? Mbona utekaji upo tangia zamani? Watu hutekana kwa mambo yao binafsi, wamedhulumiana, wamechukuliana wake/mume, wapenzi. Kwanini kila wakati tufikirie ni jeshi la polisi? Polisi kazi yao ni kuteka? Hiyo ni siasa za hovyo, kishamba, za maji taka hasa kutoka nyumbu wa chadema.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Video: Mwanamke aliyetambulika kwa jina la 'Rose' adaiwa kutekwa maeneo ya Mlimani City

    Karipoti polisi huku watakusaidia nini
  10. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Marasta ni wapigania Uhuru, nafuata nyayo za mashujaa

    Mvuta bangi mwenzake
  11. A

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Marasta ni wapigania Uhuru, nafuata nyayo za mashujaa

    Afadhali amesema ukweli, marasta ni wavuta bangi. MAUMAU ndiyo njia anayotaka kuitumia? Sasa mnabisha kwamba huyo lofa ni mhaini? Kiukweli amepanic jela ni kubaya!
  12. A

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Kiingereza haiongezi chochote tumia lugha ya Taifa, au unafikiri tutakuona umesoma sana
  13. A

    JamiiForums Tanzania Nini kimesababisha mchango wa Waislamu katika harakati za siasa za mapambano Tanzania kuwa ukipungua ?

    Hizi ni porojo tu za kidini. Acha udini bwanamdogo
Back
Top Bottom