Asante nashukuru sana kaka, kilichokuwa kinanipa shida siyo kukosa nafasi, Nilijitahidi kulipokea kama lilivyo kuwa sijakidhi vigezo ila kilichokuwa kinaniumiza kichwa ni naanzaje kutokea pale, kwa sababu nilishajiaminisha kuwa naenda kupata kazi... lakini namshukuru sana Mungu kwa ajili ya JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.