Recent content by Aidama

  1. A

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Asante nashukuru sana kaka, kilichokuwa kinanipa shida siyo kukosa nafasi, Nilijitahidi kulipokea kama lilivyo kuwa sijakidhi vigezo ila kilichokuwa kinaniumiza kichwa ni naanzaje kutokea pale, kwa sababu nilishajiaminisha kuwa naenda kupata kazi... lakini namshukuru sana Mungu kwa ajili ya JF...
  2. A

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Nimepokea ushauri, nashukuru sana Mkuu, be blessed
  3. A

    Jeshi la Uhamiaji wamenirudisha Nyumbani wakidai sipo Fiti. Nimepoteza dira ya maisha

    Hapana kwa hospital kigezo cha leseni kinanibana, fani hii bado hatuna chama/baraza la kutoa leseni... Ila nadhani mchakato unaendelea.
Back
Top Bottom