Kuhusu bima ya Afya : nilizungumzia kuhusu mifuko wa kitaifa wa bima ya Afya ambao mwananchi atalazimika kuchangia kiasi kidogo Kwa kipindi Fulani na mfumo huo utakuwa na jukumu la kugharamia matibabu ya wananchi wote
Zifuatazo ni changamoto kuu zinazopaswa kushughulikiwa ndani ya kipindi Cha miaka 5-25:
1. Upungufu wa watumishi wa Afya
Changamoto:
Tanzania inakabiliwa na upungufu mkubwa wa madaktari,wauuguzi,na wataalamu wa Afya kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa na idadi ndogo ya wahudumu
Mikakati ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.