Recent content by Ahuche

  1. A

    SoC04 Fikra bunifu kuboresha Sekta ya Afya kwa miaka 5 hadi 25 ijayo

    Kuhusu bima ya Afya : nilizungumzia kuhusu mifuko wa kitaifa wa bima ya Afya ambao mwananchi atalazimika kuchangia kiasi kidogo Kwa kipindi Fulani na mfumo huo utakuwa na jukumu la kugharamia matibabu ya wananchi wote
  2. A

    SoC04 Fikra bunifu kuboresha Sekta ya Afya kwa miaka 5 hadi 25 ijayo

    Zifuatazo ni changamoto kuu zinazopaswa kushughulikiwa ndani ya kipindi Cha miaka 5-25: 1. Upungufu wa watumishi wa Afya Changamoto: Tanzania inakabiliwa na upungufu mkubwa wa madaktari,wauuguzi,na wataalamu wa Afya kutokana na idadi kubwa ya wagonjwa na idadi ndogo ya wahudumu Mikakati ya...
Back
Top Bottom