Habari m
Habari mkuu. Kabla ya kujua makadirio sahihi ni bora ukaiwekea vipimo hiyo ramani kulingana na ukubwa wa kiwanja chako. Hivyo utakuwa umepata uhalisia wa makadirio.
Tukifika site tunachukua vipimo. Paa linachorwa papo hapo ili ulione pia unatoa maoni yako ama lishuke au lipande zaidi. Tukishafikia makubaliano tunafanya makadirio yake kwa usahihi kabisa.
Nashukuru kwa mteja wangu kwa kunipa kazi kama inavyoonekana hapo chini,
Tumeonana tumechukua vipimo tukachora ili kuangalia paa analotaka mteja ili kulifanyia kazi.
Sasa tunafanya makadirio kwa kupaua kwanza kwenye computer ili kumpa makadirio sahihi mteja wetu.
Karibuni tufanye kazi. Site vist ni bure na utaoneshwa papo hapo paa la nyumba yako na kama utataka mabadiliko tutayafanya papo hapo tukiwa site. Baada ya kukubaliana jinsi tunavyotaka paa liwe ndipo makadirio yanaanza.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.