Recent content by Agrila Farming

  1. Agrila Farming

    Nataka mtu wa kufanya "drip irrigation" kwa ajili ya Kilimo cha Mapapai

    Hello boss,mfumo wa umwagiliaji kwa njia ya matone (drip irrigation) kwa umwagiliaji wa papai huwa tofauti kidogo na mfumo wa umwagiliaji kwa mazao ya mboga mboga hivyo huwa na aina yake kabisa ya bomba ambazo huitwa blind pipes zinazopachikwa online emitters kwenye kila shina la mpapai hivyo...
  2. Agrila Farming

    Kilimo cha kumwagilia kwa njia ya matone

    Iko hivi boss,Hapa inategemea na unataka mfumo kwa ajili ya umwagiliaji wa zao gani.Mfano kwa gharama za kufunga mfumo huu kwa kilimo cha zao kama papai ni tofauti na gharama za kufunga mfumo huu kwa mazao ya mboga mboga kama nyanya,matango,hoho n.k kwani mazao haya hutumia mfumo wa umwagiliaji...
  3. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Udongo huu sio kwamba ni kama udongo wa kawaida useme wanachota tuu huko ulaya wanatuletea.Sio kila mkulima ana muda wa kutosha kuandaa udongo huu wa kawaida ili kuwa na sifa zote za udongo zinazohitajika ili kuota na kukua kwa miche.
  4. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Hakuna kitu chochote kinachoruhusiwa kutumika hapa nchini kwenye kilimo bila kufanyiwa kwanza utafiti.Kifupi udongo huu sio kwamba ni kama udongo wa kawaida useme wanachota tuu huko ulaya kisha wanatuletea.Swala ni kwamba kama wewe una muda wa kuandaa udongo wako wa kupandia ni sawa ila kuna...
  5. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    inapatikana Arusha boss ila tunatuma mikoa yote
  6. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Sijakuelewa boss,udongo kwasasa umeisha tunapokea wiki ijayo kutoka israel.Karibu
  7. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Iko hivi boss tunaposema 3500 kwa kilo hiyo ni bei ya reja reja ila ukinunua kwa jumla yaani begi zima la kilo 50 unapata punguzo la sh.5000 badala ya 175000/= Tsh unanunua kwa 170000/= Tsh.
  8. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Tangazo halijakosewa sehemu yeyote mkuu,kilo ni sh.3500 Tsh
  9. Agrila Farming

    Irrigation

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss PEAT MOSS NI NINI? Peat moss ni udongo maalumu unaotumika kwa ajili ya kuandaa miche hasa kwenye upande wa miche ya mboga mboga na matunda kama vile nyanya,hoho,papai n.k Udongo huu huzalishwa katika nchi za ulaya kama vile...
  10. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Kweli kabisa mkuu,kikubwa ni kuendana na kasi ya mabadiliko haya hasa kwenye sekta hii ya kilimo maana bado tupo nyuma kiteknolojia.
  11. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    Tunapatikana Arusha boss ila tunatuma udongo huu mikoa yote
  12. Agrila Farming

    Faida kuu tatu za udongo maalum wa kupandia miche uitwao Peat Moss

    PEAT MOSS NI NINI? Peat moss ni udongo maalumu unaotumika kwa ajili ya kuandaa miche hasa kwenye upande wa miche ya mboga mboga na matunda kama vile nyanya,hoho,papai n.k Udongo huu huzalishwa katika nchi za ulaya kama vile Norway,Finland na husambazwa duniani kote ili utumike katika shughuli...
Back
Top Bottom