Huyo aliekua anafanya sherehe miaka yote na sherehe zingine za kupongezwa c huyo mwenyekiti wenu wa msoga alikua anarusha hadi ndege za kivita zimpigie saruti uwanja wa Taifa.alikua Lowassa,Mbowe au Lissu?
Tunataka haki..Tume itangaze matokeo halali siyo ya kupika kula zote wanazosema zimekataliwa nani kazikataa? watu tulijitokeza kwa wingi sana kupiga kura vituoni,kula zetu zikwenda wapi? 7 million..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.