Recent content by Afrika yetu sote

  1. Afrika yetu sote

    Unatumia njia gani kumpata mshauri wa mambo unayopitia?

    Hapo sasa, ukishea na mmoja tu inakuwa vizuri. Ila wengi wa rafiki zetu ni watu wanaotuona kuwa tunatoa huruma. Na wao ndio watu wanaostahili kukushauri. Huo sio urafiki na maana yake, rafiki sio kuwa et bila mimi asingefika pale!!! Rafiki yako awe ni mtu ambaye hajioni bora kuliko wewe...
  2. Afrika yetu sote

    Unatumia njia gani kumpata mshauri wa mambo unayopitia?

    Wanasema kuna madhara ya kukaa na mambo magumu bila mshauri!! Hata kama hawaamiki ila unahitaji mtu wa kumwambia.... Kuna njia mbalimbali unaweza kutumia ukiona watu hawana kifua, Tumia kama unamsimulia stori ya mtu fulani alafu usikie ushauri wake utakusaidia... Kuna mambo mengine ni magumu...
  3. Afrika yetu sote

    Unatumia njia gani kumpata mshauri wa mambo unayopitia?

    Watu wengi huwa tunaomba ushauri kwa watu mbalimbali ili watusaidie pale tunapohitaji, lakini ikitokea tumegombana na wale waliotupa ushauri, tunazikuta siri zetu nje ya hapo. Sasa wewe unatumia njia gani kumpata mshauri anayefaa? Kuna baadhi huwa tunawachukua marafiki kama washauri ila kibaya...
  4. Afrika yetu sote

    Kuwachanganya wenye elimu na wasio na elimu kwa kazi siziso hitaji elimu ya darasani ndio kunafanya wasio na elimu waidharau elimu

    Sio muda wote ila, kaa na mjinga sawa na ujinga wake, usije ukaonekana unajiinua, unawadharau wasio na Elimu.....
Back
Top Bottom