Recent content by afande kifimbo

  1. afande kifimbo

    Nimechoka kudanga nataka kurudi kwa mume wangu,shida ni mama mkwe

    kashabomoa familia yake kwamikono yake...mpumbavu huyo
  2. afande kifimbo

    Kataa ndoa. Leo wamepata point 3 ugenini, ilikuwa hivi...

    baharia kamanda muhun imsel msomi mwenye aili zake hawezi uza nyumba kumpa mwanamke mtaji na hawezi shawishi mwanmake kwa pesa...huyo alikuwa boya kwa kweli
  3. afande kifimbo

    Mke wa mtu anataka niingiza cha kike

    acha ufala. kula mzigo tulia
  4. afande kifimbo

    Nisaidie ushauri...ndoa imenishinda

    mwanaume naye mpuuzi huyu kwa hapa.....
  5. afande kifimbo

    Namwambiaje huyu binti wa miaka 19 kuwa sina malengo nae?

    we nawe kiazi , eti bila kumuumiza ...
  6. afande kifimbo

    Kweli nimeamini ukubwa wa pua si wingi wa makamasi

    waache wapige pesa, maana hamjuagi mnataka nini nyie
  7. afande kifimbo

    Kabla na baada ya ndoa

    acha kulia....kama vipichukua mchepuko ajue
  8. afande kifimbo

    Stori ya maisha yangu: Alinibebesha ujauzito, Mama yangu akamkataa akafungwa miaka 30 kisa dini

    Hao watu wazima alisingiziwa, sio kwamba kukubali kulimfunga ila yule mama akaamua atumei hiyo kutengeneza kesi nyingine
  9. afande kifimbo

    Stori ya maisha yangu: Alinibebesha ujauzito, Mama yangu akamkataa akafungwa miaka 30 kisa dini

    USIRUHUSU DINI IKUTOE AKILI KICHWANI ZA UBINADAMU.....MWISHO WA SIKU MTOT AMEKUA AMEONA KABISA MMEMUUA BABA YAKE ...WANAWAKE WANAWAKE HAWAFAI KUOMGOA HATA FAMILIA MAANA HII ILIONGOZWA NA MWANAMKE
  10. afande kifimbo

    Yamenikuta! Mke mzuri hija mara moja mimi wangu nishampoteza na sijui naishije

    sure huo ni ujinga uliopitiilza hauna nafuuya kuvumilika.....pia kumuachisha kazi mkeo napo duh anyway ya kazi sio issue,,,sssu matendo yake ya kinjinga ya kumfanyi amkeo,,,NA ALIPATA MKE MWEMA KWA SILIMIA 100
  11. afande kifimbo

    Yamenikuta! Mke mzuri hija mara moja mimi wangu nishampoteza na sijui naishije

    au kwa vile ni la 7 amekosa baadhi ya reasoning...japo wapo wa la 7 akili wanazo za maisha huyo pia ujinga tu na marafiki wajinga na ujinga zaidi wake mwenyewe, maana wa degree wajinga wapo sana pia ndoa haina degree wala la 7 kwanza
Back
Top Bottom