baharia kamanda muhun imsel msomi mwenye aili zake hawezi uza nyumba kumpa mwanamke mtaji na hawezi shawishi mwanmake kwa pesa...huyo alikuwa boya kwa kweli
USIRUHUSU DINI IKUTOE AKILI KICHWANI ZA UBINADAMU.....MWISHO WA SIKU MTOT AMEKUA AMEONA KABISA MMEMUUA BABA YAKE ...WANAWAKE WANAWAKE HAWAFAI KUOMGOA HATA FAMILIA MAANA HII ILIONGOZWA NA MWANAMKE
sure huo ni ujinga uliopitiilza hauna nafuuya kuvumilika.....pia kumuachisha kazi mkeo napo duh anyway ya kazi sio issue,,,sssu matendo yake ya kinjinga ya kumfanyi amkeo,,,NA ALIPATA MKE MWEMA KWA SILIMIA 100
au kwa vile ni la 7 amekosa baadhi ya reasoning...japo wapo wa la 7 akili wanazo za maisha huyo pia ujinga tu na marafiki wajinga na ujinga zaidi wake mwenyewe, maana wa degree wajinga wapo sana pia ndoa haina degree wala la 7 kwanza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.