mimi niliagiza cages china za kuku wa mayai gharama yake ni kama 1840 pamoja na bank fee cha ajabu mpaka mzigo unatoka bandari nimelipia 1,891,700.42 za kitanzania bado usafiri kutoka dar mpaka mikoani kama vp tafuta watu wa bandar watakusaidia zaidi masuala ya kodi na clearance
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.