Nikianza kwa kutaka kujua kama ni sheria ambayo siyo thabiti juu ya matumizi ya dawa za binadamu au wasimamizi wa sheria ya matumizi ya dawa za binadamu ndiyo hawazisimamii inavyotakiwa au tatizo lipo kwa wadau wanaotumia sheria ya matumizi ya dawa za binadamu?
Matumizi holela ya dawa za...
Ijapokuwa changamoto za mfumo huu huwa zipo maeneo mbalimbali lakini napenda kujikita zaidi kwa wahitimu wa kada za Afya nchini ambao ni Madaktari, Afisa Tabibu, Wauguzi, wateknolojia Dawa, Wateknolojia Maabara na Afisa Tabibu Meno.
Mifumo ya elimu kwa ajili ya kumuandaa mtu wa kusomea taaluma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.