Wewe chuki zako haziwezi kuleta ushahidi WA ugaidi, hizo Ni mbinu Za kuharibu taasisi ya uamsho tu na uislam, FYI wanashtumiwa kuwapa hifadhi magaidi wakati huo wakiwa ndani, unawezaje kumpa mtu hifadhi ikiwa gerezani
Wewe ndio una kesi ya kujibu huleti ushahidi kazi porojo tu kama dpp hajapata ushahidi utapat wewe, hakuna mahubiri ya chuki Zanzibar tokea asubuhi rabda wewe tu ndio una chuki zako, hakuna mzanzibari ataeua padri Au kuchoma kanisa, soma historia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.