Recent content by Adiosamigo

  1. A

    Waziri Mkuu wa Israel atoa wazo kwa nchi za kiarabu kuhusu Mradi wa kimkakati wa Bomba la mafuta!!

    hahaha kawaulize Israel metro zao au bunker zao Iran kazipiga au hakuzipiga nilikuambia wewe ni chizi kama Trump na Shetanyahu mnadhani vita ni vitishio. We unadhani bomba ndio solution hakuna solution zaidi ya Hormuz viongozi wa hizo nchi za kiarabu walio dhani America ndio solution wanatamani...
  2. A

    Waziri Mkuu wa Israel atoa wazo kwa nchi za kiarabu kuhusu Mradi wa kimkakati wa Bomba la mafuta!!

    Huyu mtoa mada akili zake ni mbovu kuliko hata Shetanyahu na Trump. Huyo bibi anadhani viongozi wote wa kiarabu wajinga kama yeye. Kwa hio bibi yeye ndiye kafanya mazuri kuliko Iran kwa warabu. Angejiuliza lini Iran aliwadhuru warabu afu ajiulize hilo hilo swali kuhusu USA na Israel Kwani Irani...
  3. A

    Trump Alisema Iran Air Force Kaimaliza Kumbe Alikuwa Kwenye Ndoto

    Tatizo nyie ndio kama yule mtoto wa M7 mnajidai mnajua vita wakati hamvijui. Vita vinapigwana kwa Tactics kila silaha inatumika kwa wakati wake Iran hizo ndege atazitumia wakisha ingiza boots zao jeshi la America. Trump hana jipya alicho hutubia leo huko USA kujidai kufanikiwa kwenye vita...
  4. A

    Trump Alisema Iran Air Force Kaimaliza Kumbe Alikuwa Kwenye Ndoto

    Karibu zitaenda kuwangamiza wa America, Iran anapigana vita hi kiakili
  5. A

    Dunia sasa imeelewa Iran haruhusiwi kuwa na nguvu kashindwa vita ameamua kuumiza wote tukose Kwa kufunga Harmouz Hadi Tanzania wataumia Us Wanayo yao

    Dogo hizo akili zako ni za kuwadanganya watoto wenzako tu. Iran haruhusu meli za USA na Israel tu na nchi ambazo zinamsaidia Israel au America ndio haziwezi kupitisha meli. Naona unataka kumsaidia America sasa Tanzania nani kaikataza kununua mafuta. Acheni ujinga aliye anzisha vita ni Iran au...
  6. A

    Trump azidi kusisitiza kila mtu akachukue mafuta yake Homurz.Yeye basi

    Huyu kamzidi uchizi hata Echolima1
  7. A

    Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    Hahaha kwani Saud Arabia mafuta yake anamuzia nani America na Poland tu kweli we ni fala sana Saud Arabia kwa taarifa yako anauza oil yake zaidi kwenye hizi nchi China, Japan, South Korea na India pia Taiwan lazima ataihitajia Hormuz kwa sasa au apite kwa Al Houthi hana ujanja Oil anayo...
  8. A

    Trump Alisema Iran Air Force Kaimaliza Kumbe Alikuwa Kwenye Ndoto

    Jf ujumbe ndio huo. Na kuhusu hawa kina Echolima1 na jina lingine anajiita Mlaleo Sa kichaa mwenzenu atasema nini hapa Iran karibu watanza kushambulia kutumia Fighter Jets https://youtu.be/ImHc0t4N7JM?si=y2YSieqz2zadMYuF Tunawasubiri kwenye vita vya chini pia...
  9. A

    Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    Wewe kenge hilo bomba lilitengenezwa wakati wa vita vya Iraq na Iran afu halina capacity ya zaidi ya Million 7 kwa siku wakati Saud Arabia pekee yake ana export 10 Millions BP. Usisahau Al Houthi akifunga Bab Al Mandam watapita wapi. Uwe unatumia akili sometimes
  10. A

    Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    Ritz tazama vitu vimeondoka mda huu Vinapigiwa salute 🫡 https://youtube.com/shorts/yLcAToqPtHY?si=levBEmz0pY-rIZqJ
  11. A

    Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    Samahani mheshimiwa najua wako wakristo wako tofouti na akina Echolima1
  12. A

    Iran imetoa wito kwa wafanyakazi wote wa Google, Nvidia, Apple, IBM, Tesla, Intel na Cisco kuondoka

    Ndugu umemsikia huyo mkanisa mla nguruwe anasema nini watu wa kibosho ndio walivyo lazima wataichukia Iran sababu anawachakazia taifa teule lao. Iran safi sana piga hao kondoo walio potea na wala nguruwe.
Back
Top Bottom