Recent content by Adiosamigo

  1. A

    JamiiForums Tanzania Iran na nguvu zake alizonazo ameshindwa nini kuvunja US Naval blockade?

    Mtoa mada nani anaye kuambia Iran anashindwa kuzizamisha Careers za USA na nani anaye kuambia zipo Hormuz Iran hawezi kucheza karata zake zote lakini hizo Careers alizipiga mwanzo na zilikimbia zikaenda zingine mpaa kutengenezwa au unajitoa fahamu. Al Houth walizitandika na zilikimbia pia...
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mamia ya silaha za Magaidi wa Hezbollah zagunduliwa na Askari wa Israel huko Lebanon!!

    Huna jipya hizo silaha unazipost week nzima tena ni makombora bila launchers nimekufahimisha lakini wewe kwa kuwa ni kenge unamini kila kitu anacho post Israel kwenye propoganda war. Hao walio kufa dalili yako ni ipi kama ni wanamgambo wa Hezboullah kwa hio kila gari likipigwa na wakifa raia ni...
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mamia ya silaha za Magaidi wa Hezbollah zagunduliwa na Askari wa Israel huko Lebanon!!

    Hebu tuonyeshe wapo wapi hao magaidi tuonyeshe kuanzia week mbili zilizopita mpaa leo tuone kama maneno yako ni kweli
  4. A

    JamiiForums Tanzania Magaidi wa Hamas wanahifadhi Makombola Yao kwenye mahandaki!!

    Jinga sana hilo
  5. A

    JamiiForums Tanzania Mamia ya silaha za Magaidi wa Hezbollah zagunduliwa na Askari wa Israel huko Lebanon!!

    Wacha ndoto Hezbullah wako very strong yule Puppets alikimbilia kusign mkataba na Isreal ndio Hezbullah akawacha awaone wataishia wapi sababu wananchi wa Lebanon wasidai Hezbullah ndio hawataki peace
  6. A

    JamiiForums Tanzania Mamia ya silaha za Magaidi wa Hezbollah zagunduliwa na Askari wa Israel huko Lebanon!!

    Hayo makombora bila launchers yatafanya nini kenge usidhani Israel atayatumia ni mzigo unabeba haukusaidii lolote
  7. A

    JamiiForums Tanzania Licha ya vitisho vya Iran Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kupata kipondo huko Lebanon!!

    Wanatawala Lebanon hahaha wapo kwenye miji iliopo kwenye border sababu serekali ya Lebanon ni ya vibaraka iliwambia Hezbullah warudi nyuma ya mto Letani ndipo walipo pata chance lakini wataondoka tu
  8. A

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Nilikuambia wewe ni kenge unabisha Israel anawazika kisisiri wewe unaniambia nikupe ushahidi hivi wewe akili zako zimepindia kuelekea matakoni Israel aruhusu uchukue picture ikiwa Missiles za Iran alizuia watu wasitoe aruhusu aibu zake za sisiri zitolewe
  9. A

    JamiiForums Tanzania Mamia ya silaha za Magaidi wa Hezbollah zagunduliwa na Askari wa Israel huko Lebanon!!

    Nilikuambia wewe ni kenge hizo silaha wamezikuta nje au ndani ya majumba afu nikikuambia wewe huna hata background ya military ndio sababu unaona hizo ni silaha wakati hayo no makombora yanarushwa kwa kutumia launchers zipo wapi launchers hapo. Hizo silaha hazina mana kama launchers hazipo.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Kweli sababu wakiuwawa wanazikwa kimya kimya ndio sababu
  11. A

    JamiiForums Tanzania Licha ya vitisho vya Iran Magaidi wa Hezbollah wanaendelea kupata kipondo huko Lebanon!!

    Wewe ulisha tuambia Hezbullah kisha hana uwezo wa kurusha hata risasi baadaye Israel ikacharazwa na Hezbullah uilipotea humu na karibuni utapotea humu.
  12. A

    JamiiForums Tanzania Kombora Jericho likiandaliwa rasmi tayari kwa kazi huko Iran!!

    Sawa kuna siku siri za Israel zitavuja tu mtakuta walio uliwa ma commander ni wengi kuliko walio uwa kule Iran
  13. A

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Kumbe unapenda mihogo sio ndio sababu akili zako kama za Trump https://youtube.com/shorts/vX3umNmNOC8?si=sMVq7H6roZNzwx9d Afu anakuambia Iran ameomba poa wakati week tatu alisema hataki ku deal na Iran tena isipokuwa kwa vita
  14. A

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Trump kisha changanyikiwa alidhani Iran Venezuela
  15. A

    JamiiForums Tanzania Safari hii Iran lazima anyooshe maelezo kwa Trump!!

    Ndugu hao viongozi wamewauwa wakati walikuwa kwenye mazungumzo ya peace kumbe wavaa misalaba wao ni waongo kama role model wao Paul
Back
Top Bottom