Mtoa mada nani anaye kuambia Iran anashindwa kuzizamisha Careers za USA na nani anaye kuambia zipo Hormuz
Iran hawezi kucheza karata zake zote lakini hizo Careers alizipiga mwanzo na zilikimbia zikaenda zingine mpaa kutengenezwa au unajitoa fahamu.
Al Houth walizitandika na zilikimbia pia...
Huna jipya hizo silaha unazipost week nzima tena ni makombora bila launchers nimekufahimisha lakini wewe kwa kuwa ni kenge unamini kila kitu anacho post Israel kwenye propoganda war. Hao walio kufa dalili yako ni ipi kama ni wanamgambo wa Hezboullah kwa hio kila gari likipigwa na wakifa raia ni...
Wacha ndoto Hezbullah wako very strong yule Puppets alikimbilia kusign mkataba na Isreal ndio Hezbullah akawacha awaone wataishia wapi sababu wananchi wa Lebanon wasidai Hezbullah ndio hawataki peace
Wanatawala Lebanon hahaha wapo kwenye miji iliopo kwenye border sababu serekali ya Lebanon ni ya vibaraka iliwambia Hezbullah warudi nyuma ya mto Letani ndipo walipo pata chance lakini wataondoka tu
Nilikuambia wewe ni kenge unabisha Israel anawazika kisisiri wewe unaniambia nikupe ushahidi hivi wewe akili zako zimepindia kuelekea matakoni Israel aruhusu uchukue picture ikiwa Missiles za Iran alizuia watu wasitoe aruhusu aibu zake za sisiri zitolewe
Nilikuambia wewe ni kenge hizo silaha wamezikuta nje au ndani ya majumba afu nikikuambia wewe huna hata background ya military ndio sababu unaona hizo ni silaha wakati hayo no makombora yanarushwa kwa kutumia launchers zipo wapi launchers hapo. Hizo silaha hazina mana kama launchers hazipo.
Wewe ulisha tuambia Hezbullah kisha hana uwezo wa kurusha hata risasi baadaye Israel ikacharazwa na Hezbullah uilipotea humu na karibuni utapotea humu.
Kumbe unapenda mihogo sio ndio sababu akili zako kama za Trump
https://youtube.com/shorts/vX3umNmNOC8?si=sMVq7H6roZNzwx9d
Afu anakuambia Iran ameomba poa wakati week tatu alisema hataki ku deal na Iran tena isipokuwa kwa vita
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.