Recent content by Adiosamigo

  1. A

    Israel wameshindwa na Iran, wameelekea Rafah.Wameharibu mazao mashariki ya eneo hilo

    Mashoga vita hawaviwezi wanacho weza ni kuwaua watoto, wanawake, na vizee Wanachoweza ni kupiga majumba, hospital, shule au kuharibu mashamba na kukatia watu maji au umeme pamoja kuwazuia hata wasile chakula na vyakula visingie kwa kusaidiwa na makhaini warabu Jordan na Egypt. Vita vinataka...
  2. A

    Je, Israel ana combat superiority dhidi ya Iran?

    US yenyewe inaigopa Iran ikiwa Ma Al Hout wa Yemen kawakimbia iwe Iran. US labda akapige nuclear tu ndio atamshinda Iran, lakini Iran mwendo anao kwenda nao kwenye kutengeneza silaha, US atie maji kichwani karibu atanyolewa huko huko ndani ya US.
  3. A

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    https://youtube.com/shorts/3M9ecUToIbw?si=8dprH6PNLRsjSX9I
  4. A

    Sikutarajia Israel Wajibu kinyonge hivyo, wenda maombi yetu ya amani yamesaidia

    😄 Waziri wa nje wa Iran amesema silaha za Israel ni kama mchezo wa watoto wa Iran.
  5. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Ushoga umejaa kanisani yule mtume wenu Paulo ndio alikuwa kaubarikia 😄 Hamuoni kanisani peke ndio ndoa za kishoga zinafungwa.
  6. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Tatizo hufahamu kizungu, kakusudia wako watu wanachonga masanamu kuyafanya miungu, kutengeneza ma sanamu tofouti tofouti yasio wasaidia kitu. Poleni wauwaji watoto mmekipata safari hi cha moto kutokea kwa Iran na kelele za Netanyahu hatuzisikii tena 😄...
  7. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    https://youtube.com/shorts/ZqCa2fDQdW4?si=tLL5uj-ATfjVz52X 😄 Eti wamepiga hebu opening walivyo piga Israel 😄 🤣
  8. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    https://youtu.be/Yb4WM0CZ3no?si=ERmhRZWywOswBtlr Dalili hizi walipigika aisay 😄 Israel wanaziblock video
  9. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Yani kila anacho ongea America ni kweli? Kama ni kweli yule kondoo Netanyahu si angeanza kujisifia kwenye press conference na kuitishia Iran na show off zake za kubweka bweka.
  10. A

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Wacha kuimba kwaya wewe Netanyahu mwenyewe ka Kakiri hataki vita na Iran hakuna cha ndege wala Missiles wala drone zimetokea Israel kupiga Iran. Hizo drones ni za wapinzani wa Iran tena hazikufanya madhara yeyote yale zimetunguliwa kama njiwa 😄
  11. A

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Algeria, Egypt, Morocco wanamchakaza Israel bila wasi wasi. Hata Saud Arabia anauwezo wa kuwapiga Israel. Anaye wazuia warabu ni US tu sababu kaweka vibaraka wake madarakani.
  12. A

    Israel yajibu mashambulizi dhidi ya Iran. Yashambulia Iran, Syria na Iraq

    Netanyahu amekiri kuwa hataki vita na Iran, Yani ujumbe wazi Israel kaukunja mkia wala hakushambulia Iran. Alicho sema Netanyahu kuwa tuna uwezo wa kushambulia Iran kama tunataka, hicho ndicho alicho sema. Lakini swali uwezo wako upo wapi kama umeona huwawezi Iran, si utaishia maneno tu 😄...
  13. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    Hivyo vindege umeviona wewe kama tule tu drone twa kuchukua film au live football match, tena basi havikutokea Israel au nchi za kiarabu. V merushiwa humo huma ndani na wapinzani wa Iran, wale waupande wa Shah wa Iran
  14. A

    Namna ya shambulizi la Israel huko Isfahan-Iran inathibitisha Israel wamedhamiria na wanawaalika Iran kwa vita kamili.

    😄 Israel wanatafuta ushindi wa uwongo, hicho kipigo wamepokea jana kutoka kwa Hezbullah sa wamesema wao ndio wamepiga Iran.
Back
Top Bottom