Trump kisha ona vita na Iran sio mchezo yeye alidhani USA atashinda vita sababu Air force ndio solution hajui vita siku zote Air force sio solution ni play part lakini haikupi ushindi.
Nadhani kwa sasa Trump anadhani bora atumie Nuclear lakini hapo atafanya big mistake atampa chance Mrusi na...
Mtoto wa kibosho aliishia darasa la tano sababu Wayahudi walimchukua pale kibosho bado umri wake ana miaka 12 na kumpeleka Tela Aviv kwa ajili ya kusafisha vyoo unategemea nini hapo zaidi ya ujinga ulio pitiliza kiasi.
Hi ndio point muhimu sana kuitazama kashindwa yeye labda msafisha vyoo kule Tela Aviv Echolima1 anaweza kuja na uharo kuliko wa USA huoni ana jamba jamba anataka kuharisha Iran kuwapiga bomba safari hii wataharisha tu watake wasitake
Wako wapi hao makamanda wake Hezbullah ni sawa sawa ni Uganda aweke silaha afu achukue bendera ya Tanzania bila kuonyesha askari wa Tanzania adai kawapiga askari wa Tanzania 😆
Hahaha wapo wapi makamanda wa Hezboullah hapo? Naona mnatuonyesha majumba tu mnapiga majumba ya raia afu mnadai Hezboullah wamejificha hahaha Ukristo ni ukenge sana
https://youtube.com/shorts/zqoxkeUwPbI?si=_-umCX7Hv8IrQzli
Kwa tarifa yako mimi Mazinge na mheshimu lakini Mazinge elimu yake ime base zaidi kwenye Bibilia sio Qur'an akiijua Qur'an kama Bibilia atakuwa anaheshimika zaidi ya hapo
Swali hakuna mkristo anaweza nijibu wapi Yesu alisema Ukristo ndio dini yake.
Swali lingine katika Bibilia alizo waletea...
Hapo ujumbe ni hivi hio miti tu aiheshimu kuliko umri wake Rais wa America ambaye mnamuona ndiye Rais wa kwanza wa USA mwenye umri mkubwa China inafikisha ujumbe huyo Trump ni mtoto sana kwenye hio miti ya China.
China wahuni sana wanamtandika bakora hapo wazi kabisa umri sio akili hata miti...
Nilijua huna point utaishia matusi sa wewe unadai ukristo siujui wewe nipe point wapi Yesu aliuleta Ukristo kwa dalili, hio kumuita Yesu Kristo ni nyie ndio mlimuita vile sio Yeye. Yesu wapi aliwambia dini yake ni ukristo au fateni ukristo.
Yesu kisha wambia hakuna binadamu aliwahi kumuona...
Mimi nakubaliana naye aliingia vita kuwasaidia Israel 95% na wale Warabu wajinga 5% hapo ni wazi uadui wao na Iran sababu ya taifa uharo la kina Echolima1 a.k.a Mlaleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.