Mashoga vita hawaviwezi wanacho weza ni kuwaua watoto, wanawake, na vizee
Wanachoweza ni kupiga majumba, hospital, shule au kuharibu mashamba na kukatia watu maji au umeme pamoja kuwazuia hata wasile chakula na vyakula visingie kwa kusaidiwa na makhaini warabu Jordan na Egypt.
Vita vinataka...
US yenyewe inaigopa Iran ikiwa Ma Al Hout wa Yemen kawakimbia iwe Iran.
US labda akapige nuclear tu ndio atamshinda Iran, lakini Iran mwendo anao kwenda nao kwenye kutengeneza silaha, US atie maji kichwani karibu atanyolewa huko huko ndani ya US.
Tatizo hufahamu kizungu, kakusudia wako watu wanachonga masanamu kuyafanya miungu, kutengeneza ma sanamu tofouti tofouti yasio wasaidia kitu.
Poleni wauwaji watoto mmekipata safari hi cha moto kutokea kwa Iran na kelele za Netanyahu hatuzisikii tena 😄...
Yani kila anacho ongea America ni kweli? Kama ni kweli yule kondoo Netanyahu si angeanza kujisifia kwenye press conference na kuitishia Iran na show off zake za kubweka bweka.
Wacha kuimba kwaya wewe Netanyahu mwenyewe ka Kakiri hataki vita na Iran hakuna cha ndege wala Missiles wala drone zimetokea Israel kupiga Iran.
Hizo drones ni za wapinzani wa Iran tena hazikufanya madhara yeyote yale zimetunguliwa kama njiwa 😄
Algeria, Egypt, Morocco wanamchakaza Israel bila wasi wasi.
Hata Saud Arabia anauwezo wa kuwapiga Israel.
Anaye wazuia warabu ni US tu sababu kaweka vibaraka wake madarakani.
Netanyahu amekiri kuwa hataki vita na Iran, Yani ujumbe wazi Israel kaukunja mkia wala hakushambulia Iran.
Alicho sema Netanyahu kuwa tuna uwezo wa kushambulia Iran kama tunataka, hicho ndicho alicho sema.
Lakini swali uwezo wako upo wapi kama umeona huwawezi Iran, si utaishia maneno tu 😄...
Hivyo vindege umeviona wewe kama tule tu drone twa kuchukua film au live football match, tena basi havikutokea Israel au nchi za kiarabu.
V merushiwa humo huma ndani na wapinzani wa Iran, wale waupande wa Shah wa Iran
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.