hahaha kawaulize Israel metro zao au bunker zao Iran kazipiga au hakuzipiga nilikuambia wewe ni chizi kama Trump na Shetanyahu mnadhani vita ni vitishio.
We unadhani bomba ndio solution hakuna solution zaidi ya Hormuz viongozi wa hizo nchi za kiarabu walio dhani America ndio solution wanatamani...
Huyu mtoa mada akili zake ni mbovu kuliko hata Shetanyahu na Trump. Huyo bibi anadhani viongozi wote wa kiarabu wajinga kama yeye. Kwa hio bibi yeye ndiye kafanya mazuri kuliko Iran kwa warabu. Angejiuliza lini Iran aliwadhuru warabu afu ajiulize hilo hilo swali kuhusu USA na Israel
Kwani Irani...
Tatizo nyie ndio kama yule mtoto wa M7 mnajidai mnajua vita wakati hamvijui. Vita vinapigwana kwa Tactics kila silaha inatumika kwa wakati wake
Iran hizo ndege atazitumia wakisha ingiza boots zao jeshi la America.
Trump hana jipya alicho hutubia leo huko USA kujidai kufanikiwa kwenye vita...
Dogo hizo akili zako ni za kuwadanganya watoto wenzako tu. Iran haruhusu meli za USA na Israel tu na nchi ambazo zinamsaidia Israel au America ndio haziwezi kupitisha meli.
Naona unataka kumsaidia America sasa Tanzania nani kaikataza kununua mafuta.
Acheni ujinga aliye anzisha vita ni Iran au...
Hahaha kwani Saud Arabia mafuta yake anamuzia nani America na Poland tu kweli we ni fala sana
Saud Arabia kwa taarifa yako anauza oil yake zaidi kwenye hizi nchi China, Japan, South Korea na India pia Taiwan lazima ataihitajia Hormuz kwa sasa au apite kwa Al Houthi hana ujanja
Oil anayo...
Jf ujumbe ndio huo.
Na kuhusu hawa kina
Echolima1 na jina lingine anajiita Mlaleo
Sa kichaa mwenzenu atasema nini hapa Iran karibu watanza kushambulia kutumia Fighter Jets
https://youtu.be/ImHc0t4N7JM?si=y2YSieqz2zadMYuF
Tunawasubiri kwenye vita vya chini pia...
Wewe kenge hilo bomba lilitengenezwa wakati wa vita vya Iraq na Iran afu halina capacity ya zaidi ya Million 7 kwa siku wakati Saud Arabia pekee yake ana export 10 Millions BP.
Usisahau Al Houthi akifunga Bab Al Mandam watapita wapi.
Uwe unatumia akili sometimes
Ndugu umemsikia huyo mkanisa mla nguruwe anasema nini watu wa kibosho ndio walivyo lazima wataichukia Iran sababu anawachakazia taifa teule lao.
Iran safi sana piga hao kondoo walio potea na wala nguruwe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.