Recent content by Adili Utotole

  1. Adili Utotole

    SoC02 Tuimbe wimbo wa amani na upendo kabla hayajatokea mauaji ya kikatili

    Nashukuru sana ,tupo pamoja naenda kuipitia sasa
  2. Adili Utotole

    SoC02 Tuimbe wimbo wa amani na upendo kabla hayajatokea mauaji ya kikatili

    Ukatili ni hali ya kusababisha kwa makusudi mateso na kukosesha raha dhidi ya mtu mwingine,ilihali lipo suluhisho la wazi linaweza kupatikana kwa urahisi Unaweza kuwa ukatili wa kukatisha uhai wa mtu au mnyama, ukatili wa kingono , ukatili wa kunyima haki mtu ,kundi la watu au taasisi...
  3. Adili Utotole

    SoC02 Huwezi kufanikiwa vizuri kujiajiri kama hujawahi kuajiriwa

    Naomba maoni ,ushauri na kura yako kutokana na andiko ,pia usisite kuwasiliana na Mimi, kwa kujifunza kilimo cha zao la Alizeti pitia andiko langu lililopita "WILAYA YA KITETO NA FURSA YA MASHAMBA KWA ZAO LA ALIZETI"
  4. Adili Utotole

    SoC02 Huwezi kufanikiwa vizuri kujiajiri kama hujawahi kuajiriwa

    Ajira ni kazi yeyote anayoifanya mtu na kulipwa ujira kwa makubaliano maalumu. Au ni kazi aifanyayo mtu inayoweza kumuuingizia kipato. Kuna aina kadhaa za ajira. Ajira binafsi, hii ni aina ambayo mtu hujiajiri mwenyewe, iwe kuuza duka, kuuza matunda au ufundi seremala, bomba na umeme. Ajira...
  5. Adili Utotole

    Shindano: Uandishi wa Mtandaoni wenye kuleta tija (Stories of Change 2022)

    WILAYA YA KITETO NA FURSA YA MASHAMBA KWA ZAO LA ALIZETI naombeni tupitie huku ili kujifunza na kuona fursa mbalimbali za kupata mashamba kwa msimu ujao
  6. Adili Utotole

    SoC02 Wilaya ya Kiteto na fursa ya mashamba kwa zao la alizeti

    Unakaribishwa kaka , nakushauri lima Alizeti utakuja kunishukuru baadae!!!!
  7. Adili Utotole

    SoC02 Wilaya ya Kiteto na fursa ya mashamba kwa zao la alizeti

    Asante kwa kusahihisha mkuu,sema Kiteto ni kubwa Sana
  8. Adili Utotole

    SoC02 Wilaya ya Kiteto na fursa ya mashamba kwa zao la alizeti

    Sawa mkuu, maeneo mazuri ni Lengati, Grosari, Mbigiri ,pori namba moja na namba mbili kwa sababu yapo karibu na mjini , barabara zipo Hadi mashambani ,pia miundombinu ya umeme na maji yapo karibu, kuna bwawa ambalo halijakauka maji misimu mitatu Sasa, pia samaki wapo ukitaka kitoweo[emoji3]
  9. Adili Utotole

    SoC02 Wilaya ya Kiteto na fursa ya mashamba kwa zao la alizeti

    Pamoja mkuu Nina imani siku zinavyozidi kwenda watatatua hili tatizo
  10. Adili Utotole

    SoC02 Wilaya ya Kiteto na fursa ya mashamba kwa zao la alizeti

    Naomba maoni na ushauri pia kuhusu andiko langu ,mungu awabariki
  11. Adili Utotole

    SoC02 Wilaya ya Kiteto na fursa ya mashamba kwa zao la alizeti

    Wilaya ya Kiteto ipo Kusini mwa mkoa wa Manyara. Kiteto ina kilomita za mraba 16,685 na jumla ya wakazi 244,669 kwa mujibu wa Senasa ya mwaka 2012. Upande wa Mashariki Kiteto imepakana na mkoa wa Tanga , Kusini mkoa wa Dodoma, Kusini Mashariki Mkoa wa Morogoro upande wa Kaskazini...
Back
Top Bottom