Ukatili ni hali ya kusababisha kwa makusudi mateso na kukosesha raha dhidi ya mtu mwingine,ilihali lipo suluhisho la wazi linaweza kupatikana kwa urahisi
Unaweza kuwa ukatili wa kukatisha uhai wa mtu au mnyama, ukatili wa kingono , ukatili wa kunyima haki mtu ,kundi la watu au taasisi...
Naomba maoni ,ushauri na kura yako kutokana na andiko ,pia usisite kuwasiliana na Mimi, kwa kujifunza kilimo cha zao la Alizeti pitia andiko langu lililopita "WILAYA YA KITETO NA FURSA YA MASHAMBA KWA ZAO LA ALIZETI"
Ajira ni kazi yeyote anayoifanya mtu na kulipwa ujira kwa makubaliano maalumu. Au ni kazi aifanyayo mtu inayoweza kumuuingizia kipato. Kuna aina kadhaa za ajira. Ajira binafsi, hii ni aina ambayo mtu hujiajiri mwenyewe, iwe kuuza duka, kuuza matunda au ufundi seremala, bomba na umeme.
Ajira...
WILAYA YA KITETO NA FURSA YA MASHAMBA KWA ZAO LA ALIZETI
naombeni tupitie huku ili kujifunza na kuona fursa mbalimbali za kupata mashamba kwa msimu ujao
Sawa mkuu, maeneo mazuri ni Lengati, Grosari, Mbigiri ,pori namba moja na namba mbili kwa sababu yapo karibu na mjini , barabara zipo Hadi mashambani ,pia miundombinu ya umeme na maji yapo karibu, kuna bwawa ambalo halijakauka maji misimu mitatu Sasa, pia samaki wapo ukitaka kitoweo[emoji3]
Wilaya ya Kiteto ipo Kusini mwa mkoa wa Manyara. Kiteto ina kilomita za mraba 16,685 na jumla ya wakazi 244,669 kwa mujibu wa Senasa ya mwaka 2012.
Upande wa Mashariki Kiteto imepakana na mkoa wa Tanga , Kusini mkoa wa Dodoma, Kusini Mashariki Mkoa wa Morogoro upande wa Kaskazini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.