Recent content by Adenitouh

  1. Adenitouh

    Natafuta Supplier wa Maembe jumla

    Mkuu, natafuta maembe pia. Mimi siuzi. Kwahiyo kama unaweza kuniunganisha na mtu mwenye kuuza itapendeza.
  2. Adenitouh

    Natafuta Supplier wa Maembe jumla

    Maembe dodo au jamii ya dodo, maembe yenye ladha na sukari. Idadi ni Tenga kubwa kwa wiki.
  3. Adenitouh

    Natafuta Supplier wa Maembe jumla

    Habari wadau wa JF, nahitaji supplier wa maembe mzigo wa jumla ndani ya mwaka mzima. Kwa mwenye taarifa yoyote yenye kusaidia anaweza nitafuta kwa 0756958798 muda wowote.
  4. Adenitouh

    Natafuta mtu wa kuwa supplier wangu wa maembe kwa jumla

    Urgent!! Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Adenitouh

    Natafuta mtu wa kuwa supplier wangu wa maembe kwa jumla

    Habari wadau wa JF, natafuta mtu wa kuwa supplier wangu wa maembe kwa jumla, maembe ni kwa ajili ya juice hivyo yawe matamu (yenye sukari nyingi). Kwa anaefahamu mtu tuwasiliane 0756958798.
  6. Adenitouh

    KIWANJA BUKOBA

    Ni kiwanja, ila kimepandwa ndizi ili kisiwe wazi.
  7. Adenitouh

    KIWANJA BUKOBA

    Picha
  8. Adenitouh

    KIWANJA BUKOBA

    Picha
  9. Adenitouh

    KIWANJA BUKOBA

    Mawasiliano: 0756958798
  10. Adenitouh

    KIWANJA BUKOBA

    Ukubwa: SQM 560 (25.5m × 22m) Kipo rwamishenye, Bukoba Manispaa. Ni km 3 kutoka katikati ya mji. Kina documents zote, huduma zote zipo maji, umeme, access ya barabara nzuri tu. Kipo mjini kabisa. Kwa mazungumzo piga 0756958798
  11. Adenitouh

    Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

    Shukrani mkuu, ila hii naona ni centrifugal juicer. Vipi ilio bora kwa upande wa cold press juicer ni ipi kwa range hiyo hiyo ya bei? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Adenitouh

    Yajue masuala mbalimbali kuhusu Biashara ya kuuza Juisi ya matunda ya aina mbalimbali

    Za majumbani zinazumbua kivipi? Ila hiyo bei mkuu yani 1.4M kabisa??? Huo ni zaidi ya mtaji Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Adenitouh

    Wapi linapatikana soko la chia seed kwa hapa Dar na mikoani

    Namba yako haipo kabisa. Ebu toa namba inayopatikana, wateja wapo.
  14. Adenitouh

    Wapi linapatikana soko la chia seed kwa hapa Dar na mikoani

    Nimeona watu wengi hawafahamu chia ni nini. Naomba nifafanue. Chia au maarufu kama chia seeds ni jamii ya mimea kama ufuta/ulezi. Zimejipatia umaarufu miaka ya hivi karibuni kwa kuwasaidia watu wanaotaka kupunguza mwili na kuboresha afya ya uzazi. Chia seeds zina uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta...
Back
Top Bottom