SERIKALI za Mitaa hutafsiriwa kama vyombo vya wananchi ambavyo huundwa kwa ajili ya kuwajibika kwa wananchi.
Hapa nchini vyombo hivi vimeanzishwa kwa Ibara ya 145 na 146 ya Katiba ya Jamhuri ya Tanzania, Sura ya 2 zinazobeba dhana ya ugatuzi wa madaraka ikiwa ni sehemu ya serikali iliyokaribu...
DHAMIRA ya Serikali ya Awamu ya Sita ya kutaka kumaliza matumizi ya kupikia Kuni na mkaa, inaonyesha wazi haitafanikiwa kwa muda waliojipa wa hadi kufikia mwaka 2032 iwapo hawatabadilisha mbinu wanazotumia.
Dhamira hiyo ya serikali iliwekwa wazi na Rais Samia Suluhu Hassan, mwaka Jana, jijini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.