Leo nimeona taarifa baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba wakidai kuwa wamepata fedha zao za kujikimu. Swali langu ni kwamba mbona sisi Walimu ajira Mpya bado hatujalipwa Pesa zetu? Au Kuna janja janja inaendelea. Hao waliolipwa sio Walimu labda ni kada nyingine. Tunaomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.