Recent content by AbuuHafswa Munsheedu

  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Walimu ajira mpya halmashauri ya Wilaya ya Kwimba hatujapata fedha za kujikimu

    Leo nimeona taarifa baadhi ya Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kwimba wakidai kuwa wamepata fedha zao za kujikimu. Swali langu ni kwamba mbona sisi Walimu ajira Mpya bado hatujalipwa Pesa zetu? Au Kuna janja janja inaendelea. Hao waliolipwa sio Walimu labda ni kada nyingine. Tunaomba...
Back
Top Bottom