Recent content by Abuu shaukan

  1. A

    Jiajiri kabla ya kuajiriwa! Kijana huna nafasi ya kukaa kijiweni kisha kuilaumu Serikali haijakupa ajira

    KIJANA HUNA NAFASI YA KUKAA KIJIWENI KISHA KULAUMU SERIKALI HAIJAKUPA AJIRA. Leo ukifatilia tabia za vijana walio wengi, ni kushinda kijiweni kujadili wanawake, kuvuta bangi na sigara, madawa ya kulevya, ukabaji, matokeo yake ni magonjwa ya Zinaa, uteja na mauwaji. Lakini madai Yao makubwa...
Back
Top Bottom