Kwa mtindo wako nacheka. Maana ili uelewe lazima uanze kusoma komenti yangu ya kwanza mpaka hii ninayoandika. Ili dhana zako zirekebike.
Kimantiki unaonekana unaamini kabla ya kuhoji waswahili wanasema kukubali kibubusa. Maana Huna na hautakuwa nalo la kumhoji mzee kachumvi. Ulishaamini sasa...
Una akili nyingi sana.
Iwapo Juma Njemba alikuwa mchawi huo utajiri na kuishi Kama yupo peponi ulitokea wapi???????
Njia hata ifichwe na miba itabaki kuwa njia tu
Nakufahamisha tena na tena!!
Ukimgusa mzee huyo umeugusa mtaa alioishi na jamii yake. Hivyo mimi ni sehemu ya watu wa mtaa huo. Sipingi kuwa hivyo
"zikiletwa" inategemea wakati huo nilikuwa upande gani, nipo mtaani kwangu na waletaji wameleta hapo. Nawezaje kusema "zikipelekwa"??
Kuhusu...
Basi huyo ndio aliyeheshimiwa mno Chief wa Wahombo wa Ujiji. Kuhusu kuogopewa watu wa Kigoma Ujiji hawaogopi mtu na hawakuwahi kumuogopa mtu wao huogopa Mungu tu. Muulizeni Zitto Kabwe
Haitokei kamwe kuhitaji kuwa mlaghai wa waganga.
Nachangia Kama mwana Jf. Na hii ni haki yangu, ndio maana sijamshawishi mtu kwa lolote la urithi wa Juma Njemba
Utakuwa nawe ni miongoni mwa wanaosoma ili kujibu" lakini hapana utakuwa umesahau kuwa hujaona poppet mimi nikiwa mwanafamilia yake, hata ilipotajwa sikuandika poppet kuwa mimi ni mwanafamilia.
Sijaoa wala kuolewa!
Napata ujasiri kwa kuwa taarifa yangu Kama itakuwa na mapungufu si ya kukusudia...
Hilo umesema kweli sisi sio wazembe katika kutetea tunachokiamini. Ni hakika lakini pia hatuvunji heshima za watu wala kusema uongo.
Tunaweza kujitetea kwa muda wote labda tuwe hatuna wezesho la utetezi wetu. Lakini nondo tunazo[emoji4]
Swali zuri sana!
Huyu kwenye labial lake alikuwa ni chief, na alikuwa ni mkuu wa ngoma za makabila yake pia, acha Kigoma alikuwa ni chief wao kwa Tanzania hii, toka ikiitwa Tanganyika. 1963 Kama sikukosea nchi yetu ilifuta utaratibu wa kuwatawalisha machifu.
Lakini baadhi ya Jamii ziliendelea...
Mbona hakuishi mbinguni aliishi hapa duniani. Na Zaidi ya yote majirani zake wapo! Unadhani kuuwa watu 2000 halafu uzao upo na hakuna kisasi?
Uovu wote huo lakini mnawachoma moto wenye macho mekundu yeye anadunda tu.
Eti aliishi Kama yupo peponi, mtu ambaye hakumiliki hata baiskeli, anapanda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.