Recent content by AbisaMwmunisi

  1. AbisaMwmunisi

    Siku salama na hatari kwa mwanamke yaani menstruation cycle

    Ungetoa direction kuwa linasomwaje kuliko wewe kurusha picha tu.
  2. AbisaMwmunisi

    Kwa wale tulio ndani ya ndoa

    Ukiwa una fanya tendo la ndoa na Mkeo inatakiwa ukae mda gani kwakila goli moja hadi lingine kitahalam Kwa mtu asiye na Tatizo kabsa. Yani yupo fresh.
  3. AbisaMwmunisi

    Tatizo la mikono kuwa membamba sana wakati ni mtu mzima husababishwa na nini?

    Hamna Jinsi yakuongezea kidogo au nifanyeje ili ihongezeke kidogo.
  4. AbisaMwmunisi

    Tatizo la mikono kuwa membamba sana wakati ni mtu mzima husababishwa na nini?

    Hv nni sababu ya mkono kuwa membamba Sana nawakati wewe nikijana Mkubwa may be una 26yrs au 30yrs?
  5. AbisaMwmunisi

    Natoa shahawa nyingi sana wakati wa tendo la ndoa

    Hii cyo kwel Dogo acha kuongopa.
  6. AbisaMwmunisi

    Mba kichwani (Dandruff): Fahamu Chanzo, tiba na jinsi ya kuepukana nazo

    Nikwel kabisa mafuta ya Radiant ya UG ni dawa nzuri sana hata mm nimeyatumia na unapona kabisa.
  7. AbisaMwmunisi

    Kutumia mkono wa kulia

    Huwa kitahalam anatumia ubongo wa nyuma, napia ni mtu mwenye maamuz sahihi sana so mwache hcho ni kipaji.
  8. AbisaMwmunisi

    Alama/ logo ya Nyoka katika fimbo kwenye mambo ya afya ina maana gani?

    Huwa ata mm inanishangaza Sana chata ya nyoka mlangoni.
Back
Top Bottom