Recent content by abely kamaly

  1. A

    JamiiForums Tanzania Karbuni sana kwa mahitaji ya sprayer pump na spare parts mbalimbali

    bei; Sprayer pump 16L_ 26,000 complete spare chuma_ 5,500 complete spare bati na plastik _ 3,000 Kiki( handle)_ 3,000 Kwa maelezo zaid tunaweza wasiliana kupitia # 0767 232 241 Quote Reply Report Edit
  2. A

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua soko la vifaa vya kilimo kama sprayer pump 16L/2L na spare parts zake tukutane hapa

    Sprayer pump 16L_ 26,000 complete spare chuma_ 5,500 complete spare bati na plastik _ 3,000 Kiki( handle)_ 3,000
  3. A

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua soko la vifaa vya kilimo kama sprayer pump 16L/2L na spare parts zake tukutane hapa

    Bila kupoteza muda, Kama mada tajwa hapo juu mimi nikijana mkulima na mfugaji napambania ndoto zangu za kujikwamua na huu umaskini, mwenye kuhitaji au kujua soko lilipo la mashine za kupulizia dawa ( sprayer pump 16L/2L), na spareparts zake kama spare complete za chuma, bati na plastiki, pamoja...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Mwenye kujua soko la vifaa vya kilimo kama sprayer pump 16L/2L na spare parts zake tukutane hapa

    Bila kupoteza muda mimi ni mkulima napambana kujikwamua kimaisha, ingawa sisi wakulima tunadharaulika sana ila tukazeni tu ipo sku tutaheshimika. Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu, mwenye kutaka au kujua soko lilipo kwa vtu kama pump za kupulizia dawa (sprayer pump 16L), au ndogo...
  5. A

    JamiiForums Tanzania Karbuni sana kwa mahitaji ya sprayer pump na spare parts mbalimbali

    Bila kupoteza muda nyakati ndizo hzi kuingia kwenye kilimo tena, karbuni sana kwa mahitaji ya sprayer pump 16L na ndgo 2L, spare complete (chuma, bati na plastic), nozzle na rubber za ina mbalimbali. Karbuni sana kwa ajili ya kuongeza productivity pamoja na kusukuma gurudumu la kilimo mbele...
  6. A

    JamiiForums Tanzania MSAADA: Tatizo ni meno kuwa na rangi nyeusi (Meno 🦷)

    Fata huu ushauri mzuri sana, lakini pia weusi kweny meno unaeza ukawa pia unasababishwa na utumiaj wa kahawa, sigara etc, cha msing nenda hospital kwa ajili ya checkup na usafishwe kwa kutumia vifaa maalum huo weusi utaisha
  7. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini Toyota Premio siku hizi zinapendwa sana?

    Sababu ya kupendwa hizi gari ni nin hasa??
Back
Top Bottom