Recent content by Abdul971

  1. A

    Kiwanja kinauzwa karibu na bahari

    Ndio Kigamboni
  2. A

    Tunachimba visima bei nafuu sana

    Mnazo pump zinazo tumia solar power?
  3. A

    Kiwanja kinauzwa karibu na bahari

    Kuna heka mbili zinauzwa karibu na Amani beach. Zipo karibu na bahari Wilaya ya Temeke, Minondo. Bei Shs 120,000,000/- kwa maelezo zaidi tupigie sim 0717314500.
  4. A

    Kiwanja karibu na beach kinauzwa

    Kiwanja karibu na hotel ya Amani beach chenye ukumbwa wa heka mbili kinauzwa. Bei Shs 120,000,000/- kwa heka. Kipo Minondo karibu na hotel za Amani beach na Pretoria. Kwa maelezo zaidi wasiliana nasi kupitia namba hii 0717314500.
  5. A

    Wafanyakazi wa kiume

    Kwa wanaohitaji mfanyakazi/wafanyakazi wa kiume hapa Dar es Salaam, tafadhali wasiliana nasi kupitia namba hii 0717314500. Zingatia. Ni wa full time uwe na sehem ya kulala uhakika wa kula na matibabu endapo ataugua. Mshahara kwa mwezi.
  6. A

    Natafuta kiwanja, nina Milioni 5

    Asante. Vipi umeshafanikiwa kupata kiwanja? Kama bado na malengo yapo palepale basi wasiliana na sisi kupitia namba 0717314500 jitambulishe na eleza shida yako utashughulikiwa.
  7. A

    Ufugaji wa Kuku wa Kisasa: Fahamu Mbinu, Faida, Changamoto na Masoko

    Natumai mko salama. Nahitaji kujua jinsi ya kuweka picha sehem hizi. Asanteni
  8. A

    Ufugaji wa Samaki: Pata ushauri, mawazo na michango kuhusu ufugaji samaki. Jifunze changamoto, utaalamu na masoko ya Samaki

    Hali yako, mimi nimfugaji wa samaki aina ya sato na kambale. Nina zalisha vifaranga wa sato na unaweza kututembelea ili upate kujionea mwenyewe tupo Cheka njia ya kwenda Kimbiji. Kwa mawasiliano piga namba hii 0717314500 Abdul.
  9. A

    Tunauza Vifaranga vya sato

    Kwa mahitaji yako ya viranga vya sato tafadhali wasiliana nasi kupitia namba hii 0717314500. Tupo Dar es Salaam Cheka, njia ya kwenda Kimbiji Kilomita 24 kutoka Kigamboni Ferry. Vifaranga vipo vya mda wa wiki moja na vya mwezi mmoja na bei zetu ni Shs 200/- hadi Shs 500. Nyote mnakaribishwa.
Back
Top Bottom