Waswahili wanasema "haraka haraka haina baraka"
Kimsingi bado sisi Watanzania bado tuna matatizo mengi yakiwemo yale ya Muungano n.k
Suala la elimu ya juu limekua kitendawili, na hii inamaanisha kwamba miaka ijayo wasomi nchini watapungua.
Wakati huo huo Kenya wanaongeza wataalamu wengi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.