Recent content by Abdallahking

  1. Abdallahking

    Bure Series

    Home BURE SERIES WAKUBWA TU WAKUBWA TU SIMULIZI ZA KIJASUSI SIMULIZI ZA KIJASUSI SIMULIZI ZA KUSISIMUA SIMULIZI ZA KUSISIMUA CHOMBEZO CHOMBEZO SIMULIZI ZA MAISHA SIMULIZI ZA MAISHA SIMULIZI ZA KICHAWI SIMULIZI ZA KICHAWI CHOMBEZO PLUS+ CHOMBEZO PLUS+ WASILIANA NASI - CONTACT US...
  2. Abdallahking

    Simulizi: Nyuma ya mlango wa adui

    kazi kazi
  3. Abdallahking

    Bure Series

    USIKU USIO NA JINA SIMULIZI FUPI - USIKU USIO NA JINA NDEGE wa angani pekee nd’o walikuwa wakiendelea kulipa uhai anga lililotanda kwa giza nene huku nyota zikishindwa kufua dafu katika kuileta nuru. Anga lilipoanza kutoa miale mikali inayong’ara, ndege walivikumbuka viota vyao...
  4. Abdallahking

    Simulizi ya Kijasusi: Kiguu Na Njia

    Tuko pamoja mkuu
  5. Abdallahking

    Bure Series

    NILIKUWA NA MPENZI SIMULIZI FUPI - NILIKUWA NA MPENZI Mwanzoni sikumpenda kutoka moyoni, nilimpenda kwa kuwa tu alikuwa mrembo haswa..kwa kifupi nilimtamani tu….yaani nilitegemea akinivulia nguo zake tukashiriki tendo hamu yangu itaisha na nitaachana naye. Ndio ningeachana naye kwa...
  6. Abdallahking

    Bure Series

    ULAANIWE SIMULIZI FUPI - ULAANIWE Kabla sijakuandikia haya nilivuta kumbukumbu ya miaka kadhaa nyuma Maria. Siku ile tulipokutana kisimani kuteka maji, macho yetu yakatazamana na sote kwa pamoja tukajikuta tukiona aibu. Haikuwa mara ya kwanza kuonana lakini ile ilikuwa siku...
  7. Abdallahking

    Bure Series

    UMENIUA ASHURA SIMULIZI FUPI - UMENIUA ASHURA Ashura .. oooohh.. Ashura … umeniua!!! Kwa nini umenifanyia hivi Ashura…??? Nilikukabidhi moyo wangu nikiamini kuwa unanipenda. Ndiyo, niliamini hivyo tangu siku ile ya kwanza tulipokutana pale TILDO mwaka 2010, wakati...
  8. Abdallahking

    Bure Series

    MWISHO WANGU SIMULIZI FUPI - MWISHO WANGU Nilidhani kubadilisha ndoto zangu na kuvurugikiwa ilihitaji miaka mingi jambo hilo kutokea. Nilidhani kuisha kwa uzuri wangu na kila nilichokianzisha toka nilipokuwa mdogo ilihitajika miaka mingi kama ile niliyokuwa nayo sasa. Nilikuwa...
  9. Abdallahking

    Bure Series

    CHOZI LA MAMA SIMULIZI FUPI - CHOZI LA MAMA KILA mmoja alimpa jina alijualo yeye. Wengine wakimuita kichaa mgeni, wengine chizi freshi na mengineyo mengi kulingana na wakati. Hakuna aliyejua wapi anatoka, lakini alikuwa katika kundi la vichaa pale mjini. Aliokota makopo na...
  10. Abdallahking

    Bure Series

    VUNJA UKIMYA 1st year nikiwa nimekaa leacture room nikimuangalia msichana aliyekaribu yangu,niliyekuwa nikimuita "Bestfriend"nilikuwa nikimuangalia nywele zake nzuri na sura yake ya upole huku nikitamani awe wangu,lakini yeye hakuwa akitamani hilo na nilikuwa nikilitambua hilo...
  11. Abdallahking

    Bure Series

    UTAMU MTUPU SIMULIZI FUPI - UTAMU MTUPU Nilitamani muda wa vipindi darasani umalizike ili iweze kutimiza ahadi niliyokuwa naisubiri kwa siku nyingi. Mwalimu alikuwa akifundisha lakini ni kama nilikuwa sielewi wala sisikii alichokuwa anaelezea. Mawazo yangu yote yalikuwa kwa...
  12. Abdallahking

    Bure Series

    KISASI CHA AJABU - 2 "Eboo! Huko shule si angempeleka mkewe anayeshinda kuuza maandazi au binti yake aliyemaliza sekondari mwaka juzi mbona yupo tuu nyumbani akibadilisha tuu wanaume kama siti ya daladala, wazee wengine nao sijui wana laana?" Melina alimaliza na swali na maneno yale...
  13. Abdallahking

    Bure Series

    KISASI CHA AJABU SIMULIZI FUPI - KISASI CHA AJABU Akiwa katika siku yake ya pili kwenye mafunzo kazini Muuguzi Melina Joseph anakutana na jambo la ajabu ambalo linamfanya ajute kusomea uuguzi.Japokuwa aliwahi kuwaona watu wakipoteza maisha lakini si kwa idadi na namna ile...
  14. Abdallahking

    Bure Series

    MAMA YANGU ANAKULA NYAMA ZA WATU SIMULIZI FUPI : MAMA YANGU ANAKULA NYAMA ZA WATU Kutoka katika kijiji kimoja kijulikanacho kwajinala mangara kilichopo moshi. Kulikuwapo nakijama mmoja aliyejulikana kwajinala Nasibu Ally. Aliishi kijijini hapo nawazazi wake wawili Mzee Ally Mtakuja...
  15. Abdallahking

    Bure Series

    FURAHA YA FACEBOOK SIMULIZI FUPI : FURAHA YA FACEBOOK Pembeni yangu alikuwepo mpambe wangu wa siku zote Fakih Juma au Kakyfee kama ambavyo alijiita suti yake iliyokuwa imeendana na umbo lake dogo ilimfanya awe kama muigzaji mahiri kutoka Nollywood Nigeria huku pembeni ya malikia...
Back
Top Bottom