mdogo wangu w kike anakuwa anasumbuliwa sn n kitovu, anasema kinamuuma. Akiwa shuleni mwalimu wake alimpa chai ya moto na akampumzisha na anapotulia pia hupoa kuuma. Lakini c mara moja kumtokea hili. Naomba kujua ufumbuzi wa tatizo hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.