Recent content by Abbylicious91

  1. A

    Vyuo vyote vimesongeza siku ya kufungua kwa continuous?

    Habari zenu, nilitaka kujua kama ni vyuo vyote wameongeza siku za kufungua kwa continuing student ukiachana na SUA na UDSM ambapo nimesikia?
  2. A

    Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

    Watu wengi wamekuwa wakipenda sana kuwatisha waliochaguliwa hasa first year kwamba SUA chungu Si kweli kwamba SUA ni chungu but ni kweli kwamba SUA pana ugumu wake, Kudisco SUA ni kazi na pia ni rahisi NI RAHISI kwasababu SUA ili ufaulu kwenda mwaka unaofuata according to sheri 13.2 na 13.3...
  3. A

    Ukweli kuhusu Chuo Kikuu cha Kilimo Sokoine

    Karibu sana Mazimbu na kiukweli Informatics ni kozi nzuri na inaajira sana kwa watu wanaotoka SUA, ila jiandae kusolve hesabu kwa mwaka wa kwanza..... Ni course inayohitaji msuli wa ukweli............... Karibu sana na usihofu
  4. A

    Waliochaguliwa sua kama unatatizo au unahitaji msaada basi karibu

    Habari zenu. Wale mliochaguliwa SUA kwanza napenda kuwapongeza kwa kuchaguliwa SUA na pia napenda kuwakaribisha SUA. Kama mnamatatizo au mnahitaji kujua kitu usisite kuniinbox na nitaangalia jinsi ya kukusaidia. Hasa wale wa Campus ya Mazimbu na course ya B.Sc in Agricultural Economics and...
Back
Top Bottom