Gabhashe kavaa mzula kaenda hosp kumuona nosipo ,,, nosipo kumwambia mama yake, akamwambia kuwa ni ndoto apotezee,,
Mxo anamwambia ayanda ,,sawa mke ni wake ila anahakika kama mimba ni yake, ayanda anang'aa macho
Nkosi na demu wake wamekuta wapo arosto vibaya mno
MK amewakuta tena mxo na...