Andiko zuri na kama litawafika walengwa na kufanyiwa kazi litaleta mabadiliko makubwa kwa jamii na taifa!
Naomba upitie andiko langu uchangie mjadala pamoja na kunipigia kura Soc2022-MABORESHO YA MFUMO WA ELIMU TANZANIA
UTANGULIZI
Awali ya yote nipende kumshukuru Mwenyezimungu Aliyenipa afya na fikra za kuchangia story of change ambayo inaweza kuibua mijadala mbalimbali yenye kuleta mchango kwa jamii na taifa kwa ujumla.
Awali nilishiriki katika mjadala uliowekwa na JamiiForums katika mitandao ya kijamii wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.