Nafikiri ni wakati sasa wa watanzania sio kujua vema HAKI yetu bali kujua pia mchakato wa kudai haki zetu..!Maandamano siku zote yanatakiwa kufuata sheria ya nchi kwa ujumla ni kuandamna kwa amani bila kuharibu kutishia au kuharibu amani ya watu wengine ambao kwa njia moja au nyingine hawahusiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.