wana jf naomba msaada!
kuna kipindi serikali ilipiga marufuku kufundisha tuition mashuleni.
mwaka gani?
nani alikuwa waziri?
sheria( policy) gain ilitumika?
asanteni
kwa uchache nawajua wenzangu wanne ambao wako katika hali kama yangu. ila haya ni maelezo yangu binafsi.
katika kipindi kilichokuwa kinarushwa na ITV na TBC taifa leo mida ya saa 12 jioni kuna mkurugenzi mmoja wa wizara hiyo kitengo cha (....sikumbuki ila kinahusiana na mambo ya kumbukumbu za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.