Kuitukana serikali sio issue ya kiasi kama mnavyo taka watu waamini jitaidini kusumbua akili zenu na nidham haiwezi kuja bila kuletwa lazima watu wajifunze kushindana kwa hoja na sio matusi
Kupanda na kushuka kwa bei ya vyakula ni jambo la kawaida kutokana na msimu mkuu so tatizo issue watu wameichukulia kisiasa tofauti na uhalisia wake maana siku hizi kuna siasa za mlipuko sio matukio tena
Mkuu tatizo la wanasiasa wasasa kila mtu analilia tumbo lake zitto toka issue ya NSFF kawa mdogo hama piriton kumbe nae alikuwa napiga kiana haya yote na mengine tutayasikia sana ni kwakuwa maslahi yao yameguswa
Kama mkopo watatupa wachina sio lazima na mkandarasi atoke kwao ni jukumu la chi husika kuangali mkandarasi ambae atakizi vigezo vyao .kama unapewa mkopo kwa sharti kuwa wao ndio wakujengee hilo sasa ni suala jingine na ni lazima tuangalie kwa makini sana
Fuatilia kwa makini jinsi biashara kubwa zinavyo fanywa na wafanyabiashara wababaishaji na aina ya wanasia waliopo tanzania nafikili unaweza kuwa na mwanga na kinacho zungumzwa
Sifa kubwa ya kuitwa mwanaume ni kubadikika kutokana na mazingara lakini wamaume wa kileo kila siku ni kulalamika kuliko dada zao fanyeni kazi acheni bla bla
Unaweza kupata insurance ya familia baba,mama na watoto 4 unapewa green card kwa sh 1.6 m last year ilikuwa almost 1m ila kwa sasa imepanda mimi mwenyewe nalipa individual sijaajiliwa na huduma zao ni nzuri kwa kweli sawa insurance nyingine ambazo bei yake kwa mwaka ni kubwa sana si chini ya...
Kwa kweli mimi niliona kama magu alikuwa na kigugumizi kuwatumbua hawa watu nankwanza kachelewa sana maana hawa walitakiwa kutumbuliwa longtime ago hakuna sehemu ambayo mtu ukienda unakereka kama tanesco kwanza ni kazima ukubali kuanza shughuri zako siku zima kwa issue ndogo sana kwa kweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.