habari zenu jamani. hivi 1st year wa computer science tunatakiwa kuripoti lini shuleni kwa ajili ya masomo. na pia tunatakiwa tukutane wapi. Na pia ratiba ni kivp kuhusu 1st day.
Thanks In Advance
aise jamani samahani kwa kuulizeni tena, hivi je hizo admission letters zimeshaaanza kutoka udsm au mpaka siku ya orientation tuttazipata??????????????? na je, kuna malipo yeyote ya awali kabla orientation tunayotakiwa kuzi lipia?????????????????????????????
sawa zipo. lakini wamesha anza kuzitoa. kwani mtandao yetu ya bonga na ile ya ud ni bom. kwao wanasema watatuarifu kwenya website yao lakini.,,, ahhhh bado tu. !!!!!!!!!!1
nilienda juma3, wakaniambia kwmba wataiweka kwenye mtandao, pia jana niliwapigia simu na wakaniambia bado, sasa sijui ni kivp. kwani uni zingine kama kairuki wamesha pata admission letter zao
nilienda juma3, wakaniambia kwmba wataiweka kwenye mtandao, pia jana niliwapigia simu na wakaniambia bado, sasa sijui ni kivp. kwani uni zingine kama kairuki wamesha pata admission letter zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.