NAOMBENI USHAURI...Nifanye nn?
Kuna mwanamke nampenda sana saa hizi imepita miaka 5 tokea tumekuwa karibu sanaa lakini kila nikijaribu kumueleza hisia zangu ananizngua anadai haitaji kuwa kwny mahusiano...
Mimi nilikuwa busy na masomo nlkuwa nmemuacha nyuma kidg kidarasa lkn tuna mawasiliano...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.