Fisiemu haitegemei kura za wananchi kubaki madarakani , walidhihirisha hilo 2020.
Katiba mpya katiba mpya kwa nguvu zote na akili zote na kila aina ya resources.
Huyu ndo Urio na ushahidi wake?
Bullshit.
Nilijua nitaona sms angalau zinazosema mabomu/baruti zipo tayari,mashoka ya kukatia miti tayari.
Wasichojua hawa mataahira wanafikiri mahakama inapokea tu maneno hata yaliyo nje ya ushahidi wa maandishi uliouleta mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.