Recent content by 9345

  1. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Kwa kweli hajafanya vyema kurudia bangi na alikatazwa na alikiri kuwa atorudia na alijua kabsa yaliyomkuta na alijua pia yatakayomkuta akirudia bangi
  2. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Sijawahi kufikiria hivyo ila sikuunga mkono jitihada zao kabsa yaani, sio waungwana
  3. 9345

    Africa ni shujaa aliyelala ambaye anasubiriwa aamshwe na akurupuke afike mbali kimaendeleo

    Hakika Africa yetu itazinduka tu siku moja InshAAllah
  4. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Kiukweli hauwezi kumforce mtu aamini kama unavyoamini wewe , wengine tutaamini katika Allah wapo wataoamini katika Jehova na wapo wanaosujudia na kuabudi ng’ombe, masanamu, uchawi na upana wake all in all wote tunaishi na tunafanikiwa kwa kila mtu kwa upande wake Hauwezi ukamuamulia mtu amini...
  5. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Asante mkuu, yeah mambo mengi yanatokea kwenye koo zetu , mambo ambayo babu alikuaga nayo so na wewe yanakukuta, pengine inakuwa mikoba kwa maana ya uganga
  6. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Uhalisia ndio huo, sema mkimpata doctor mzuri atawaambia endeleeni na tiba ya hapa hospital na pia angalieni na mjaribu na mambo yenu ya kitamaduni uenda mkapata ufumbuzi, wapo madoctor waelewa lakini ni wachache
  7. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Ni kweli mkuu alitibiwa kwao na akawa poa ila ni tiba tu haijalishi unaipata wapi? Ila mkono wa Mungu unahusika
  8. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Wewe acha tu mkuu, nilipewa jukumu na nililitekeleza uzuri tu
  9. 9345

    Sitasahau ndugu yangu alivyochanganyikiwa na tukakosa tiba hospitali na kutimkia kwa waganga

    Ni hatari mkuu, mambo kama hayo yapo yaani na sijui inakuaje! Kuaje
Back
Top Bottom