Asante kiongozi, ni kweli private mshahara mkubwa lakini sina muda wa kufanya jambo lolote la ziada nimebanwa sana ila pia sijapata uhakika kama na huko serikalini napo hakubani kama huku
Ningekujibu mkuu ila wenzangu wanapita sana humu nikikujibu hayo wazee wa kuunganisha dots watanijua na mm sitaki mtu anifahamu hasa wa kazini mana mpka sasa hamna anayejua kama nimepata kazi nyengine. Ukiangalia hata post yangu kuna vitu vingi sijavisema kwa maksudi kabisa kuna watu wana akili...
1.Niliomba taasisi kubwa ya serikali mzee na ningepata huko nisingejishauri kwa chochote ningeenda sema nilikosa nafasi jina likabaki kwenye database ndio wamenipangia huko halmashauri sahv ambapo sikuombea ajira nimepangiwa tu
2.Mechanical Engineer
Niliomba taasisi kubwa ya serikali mzee na ningepata huko nisingejishauri kwa chochote ningeenda sema nilikosa nafasi jina likabaki kwenye database ndio wamenipangia huko halmashauri sahv ambapo sikuombea ajira nimepangiwa tu
Wakuu habari, niliomba kazi taasisi flani ya umma (utumishi) sikupata nafasi jina langu likahifadhiwa kwenye database juzi kati kuna mkeka wa kuitwa kazini umetoka na jina langu likiwemo kwenye kazi za halmashauri. Ila kwa sasa kuna taasisi binafsi nafanya kazi ambayo nalipwa vizuri sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.