Recent content by 2068

  1. 2068

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika

    Acha kujifajiri. Unajua fika hizo kazi ni nadra sana kupata mtu mweusi . Truth is Brazzaville ni makao makuu tu ila hiyo position inampaka mamlaka ya Africa nzima. Kwa ufupi Tanzania tutatuma taarifa zetu za hayo magonjwa kwake. She is got a huuuuge power kama huo uteuzi ni kweli.
  2. 2068

    JamiiForums Tanzania Mtaalam wa kuandaa Fast Food

    Anatafutwa mtaalam wa kuandaa pizza, sandwich, burger, nk. kwa kiwango cha hali ya juu. Awe tayari kuishi mkoani maana ndiko biashara inakotarajiwa kufunguliwa . (makao makuu ya mkoa fulani Tanzania bara .)
Back
Top Bottom