Habari ndugu zangu,
Mimi nimehitimu diploma lakini form four Nina pass tatu Pekee (yaani Kiswahili C, English C na histori C,) form six nna division 3 ya 14 na diploma nna GPA ya 3.2 nimejaribu kuomba AVN mfumo unataka niongeze pass nyingine ili ziwe nne je ishu ya AVN kwenye ajira za...
Habari Wakukuu Mimi form four nini pass tatu Pekee Yaani kiswa C , histori C na English C nikaingia five na six nikapata division ya kusoma diploma nikaingia UDSM nikapata GPA ya 3.2 Sasa nikajaribu kuomba AVN namba ikagoma wakaniambia naitaji kuongeza pass nyingine ili ziwe nne na Mimi Sina...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.