Recent content by 2014/15

  1. 2014/15

    Orodha ya majina ya walimu wapya 2014/15

    Tunaiomba tamisemi ituwekee hewani orodha yetu ya majina ya walimu wapya kwa mwaka wa kumalizia masomo 2014/15 kama walivyotuahidi sisi wahitimu kupitia vyombo mbalimbali nchi Tanzania kama vile Runinga:ITV,Magazet:Habarileo .Tanzania daima.Katika gazeti la habari leo lilinukuliwa likisema...
  2. 2014/15

    Walimu wapya mmejiandaaje kuripoti vituo mtakavyopangiwa?

    I'm 2014/15 tusijaribu kupeana maswali ya kuwakatisha tamaa walimu kwani wakipata ajira wataweza kuikomboa jamii ambazo zilihitaji wapate walimu kwa watoto wao.hawa ni watu muhimu katika jamii ,haifai kukatiswa moyo kwa maswali ambao huwenda tunaweza kusema hayana hisia za...
  3. 2014/15

    Muongozo: Napenda kusoma Public Administration

    Ww soma education ndugu uwe na uhakika wa ajira .koz nyengine majanga matupu ndugu.achana nazo utakuja hangaika.au kama unweza kujiajiri kasome ,sio kozi mbozi ,tatizo haina ajira.
  4. 2014/15

    Muongozo: Napenda kusoma Public Administration

    Ww soma education ndugu uwe na uhakika wa ajira .koz nyengine majanga matupu ndugu.achana nazo utakuja hangaika.au kama unweza kujiajiri kasome ,sio kozi mbozi ,tatizo haina ajira.
  5. 2014/15

    Hatimaye serikali kuajiri walimu 34000 Mwezi huu April 2015

    kwa masikio yangu nimesikia magazeti ya leo asubuhi ,gazeti la TANAZANIA DAIMA likisomwa katika kituo cha ITV ,lasema serekali kuajiri walimu 34,000 . ,ajira bado hazijatoka limesema mwezi huu huu yatatolewa majina. Allah sw atujaalie tuwemo na tupate maeneo yanayokalika. BY:2014/15. NENDA...
  6. 2014/15

    Hatimaye serikali kuajiri walimu 34000 Mwezi huu April 2015

    kwa masikio yangu nimesikia magazeti ya leo asubuhi ,gazeti la TANAZANIA DAIMA likisomwa katika kituo cha ITV ,lasema serekali kuajiri walimu 34,000 . ,ajira bado hajatoka limesema mwezi huu huu yatatolewa majina. Allah sw atujaalie tuwemo na tupate maeneo yanayokalika. BY:2014/15. NENDA...
  7. 2014/15

    Ajira mpya za walimu soon

    ndugu acha kukatisha tamaa vijana ,ajira zipo wala musiwe na wasiwasi wowote taarisheni nauli tu ,muda wowote zitakua hewani (ttr) .wadau ajira zipo vuteni subra.
  8. 2014/15

    Ajira mpya za walimu soon

    barua feki iyo wadau wala musihangaike ,ajira palepale
  9. 2014/15

    Ajira mpya za walimu soon

    mm ninaamini ajira za walim zipo na ninatarajia baada ya pasaka zitakuwa hewani.
  10. 2014/15

    Ajira mpya za walimu soon

    mm ninaamini ajira za walim zipo na ninatarajia baada ya pasaka zitakuwa hewani.
  11. 2014/15

    Ushauri wa haraka,ipi ni kazi nzuri kati ya hizi??

    mm nahisi ipo haja ya kuangalia maslahi ya upande wa pili anaotaka kuenda kabla ya kuchukuwa maamuzi ya aina yoyote,ikiwa maslahi ni mazuri ni vyema akamuombe mungu la ikiwa maslahi mabaya ni afadhali kubakia hapo alipo .
  12. 2014/15

    Serikali kuajiri Zaidi ya walimu 35,000

    kwa minajili hiyo ajira mpya za walimu wapya kwa mwaka huu wa 2015 zipo na zitatolewa lini au baada ya kumalizika kwa sherehe ya pasaka .
  13. 2014/15

    ajira za walimu wapya kwa mwaka wa kumalizia masomo 2014/15 TAMISEMI lini zitatolewa?

    kwa yoyote ambaye mwenye kuweza kutupatia taarifa juu lini ajira mpya za walimu wapya 2015/16 ,tunamuomba atusaidie ili tujuwe lini ajira hizi zitaweza kuwekwa hewani kutoka tamisemi kupitia wizara ya elimu na mafunzo ya amali.kwa ukweli muda umeshakuwa mwingi . kiukweli sio kawaida kwa miaka...
Back
Top Bottom