Rafiki yangu mpendwa.
kujiua ni kuua. na kama ilivyoandikwa na baada ya kifo tunatazamia hukumu ya Mungu yenye gadhabu kuu. sasa wewe utakuwa umejichagulia mwisho mbaya.
sijui sababu ila nakushauri ufikili mara mbili mbili.
Wewe ni wa pekee, ukitoka hakuna atakeyekuwa kama wewe na nafasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.