Habari za saa hizi wadau.
Mimi ni mkulima mdogo wa maharage katika wilaya ya Simanjiro mkoa wa Manyara.
Ninapenda kuulizia fursa ya kukodi shamba la kulima maharage na mahindi mkoani Tanga wilaya kilindi. Kwa wale wenye kufahamu jografia ya eneo.
Nawaombeni ushauri na mwongozo wenu. Namna ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.