Usijali mkuu hii wizara ni kawaida kutudanganya maana wakati wa kujaza form ya maombi walitwambia masomo yanaanza october 1 mara wakafanya marudio ya maombi wakasema mhula unaanza october 14 ambayo ni leo hivi hii wizara vipi mbona haieleweki?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.