Mnaongea kuhusu newzealand na hili kanisa lilochomwa na waislamu hapa Mombasa na yule mtoto aliye pigwa risasi kanisani kule likoni ,huo in utabiri was biblia una
Kama kufirana in kwa wazungu tembea vichochoro vya miji yenye waislamu wengi ujionee acha kukaa tu msikitini na kujidai tu eti ni wema ,si umesikia mwenzio amesema anawinda wazungu awakate shingo dini gain hiyo
Hey ndugu zangu dhambi inatawala dunia na chanzo chake ni shetani, tuache kujadili hii hoja kwa kupendelea upande was dini yako, dhambi haina uzungu au uarabu na mradi shetani awe na nafasi kwako, SWALI:kama kufirana ni kwa wazungu,je ule ubasha na ushoga unaofanywa na wabajuni huku lamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.