Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Hello tunauza mashine za kukamua juisi ya miwa Sifa kuu inakamua na kuchuja yenyewe Huna haja ya kusumbuka Pia Hutumia Umeme kidogo karibu sana Tupo kariakoo mtaa wa masasi na ndanda 0774150519
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Unahitaji mashine ya kusaga na kukoboa nikukaribishe utazipata kwetu Pia utapewa ushauri mashine ipi itakufaa kutokana na mazingira yako Tunapatikana tabata Namba zetu 0717209569
0 Reactions
8 Replies
1K Views
RIETA SEED Tunakuletea Mbegu Bora ya Mahindi ya UH 6303 Hii inastawi vema sana ukanda wa juu hasa Mbeya, Songwe,Njombe, Rukwa, Katavi na Njombe. Mavuno mengi magunia 30 kwa eka. Ni tamu kuchoma...
2 Reactions
15 Replies
5K Views
Mwenye 1.turubai za kichina 15ft kwa 18ft 2.Simpo za kufuta za kinadada 33-36 na 37-42 tuwasiliane tafadhali,bei ya chimbo. 0744223213
0 Reactions
3 Replies
760 Views
• Ipo Kibamba Mwisho • Ukubwa wa eneo ni ekari 4 • Ina hati miliki • Imesajiliwa • Inauzwa TZS bilioni 1.2 . ✓ darasa 1-7 ✓ inatoa huduma ✓ ni ya kutwa ✓ ina maabara na jengo la ofisi ✓ ina...
3 Reactions
22 Replies
2K Views
Misumeno na yenye ala inauzwa. Ni mikali na imara sana. Inafaa sana kwa shughuli za nyumbani,kambini,ufundi. Inafaa pia kukatia pemba za ng’ombe na mbuzi. Wahi ofa hii katika bei ya shilingi...
2 Reactions
1 Replies
293 Views
Nauza AC yangu ya hisense inverter Nina miezi 5 toka nimenunua. Sababu ya kuuza nimehamia office mpya sasa nimekuta iko full Ac za jengo. Price 750,000/= Umeme mdogo Sana Call 0692562259...
1 Reactions
0 Replies
361 Views
996 online Shop ni wauzaji wa Accessories za aina tofauti kama Smartwatch EarPods Speak Cheni & hereni Saa za mkononi n.k Location •• Kariakoo, Dar es Salaam Call •• 0788929673
0 Reactions
91 Replies
4K Views
Tunachora Ramani za nyumba za kisasa kwa bei nafuu sana Wasiliana nasi kwa whatsapp 0717040837/0767267664
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Nauza meza na kiti vya ofisini, vimetumika mwezi mmoja tu. Nimevinunua jumla laki 5 na nusu. Naviuza laki 3 tu sababu nina hama mkoa nimepata uhamisho wa kikazi, sifungui tena ofisi. Kama una...
0 Reactions
2 Replies
378 Views
Nauza printer deskjet 2050 Ni nzima haina wino tu nakupa na cable zake zote bei 60,000 tu HAIPUNGUI Haina wino tu Weka wino piga kazi. Ipo kimara korogwe 0677818283
0 Reactions
12 Replies
697 Views
BONGO CHICKS COMPANY LTD :Ni watengezaji na wasambazaji wa mashine za kutotoleshea mayai ya aina zote kwa bei nafuu,chicken feeds,mayai aina zote pamoja na kuku aina zote nchini. Incubator...
0 Reactions
3 Replies
678 Views
Mashine ni mpya kabisa,haijatumika. Inafaa kupiga dawa kwenye magugu na kukupiga kwenye miti (mikorosho,miembe n.k) na mazao mbalimbali kuzuia kuvu na wadudu.Na pia kupiga dawa maghalani...
0 Reactions
0 Replies
381 Views
Habari zenu wadau? Nilikuwa kwenye process za ujenzi ila kwa bahati mbaya huu mwaka sijauanza vizuri na kiukweli sioni dalili za kuendelea na ujenzi hivi karibuni naona nikiendelea kukaa na hizi...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nauza Printer 🖨 ya Epson L850 Ina kila kitu chake, ni mpya sijawahi itumia Tsh 900,000 All in one printer Print,copy,scan Six color eco-tank Colored printer Quality 💯 Napatikana Dar, Mbweni...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Call / WhatsApp 0652565597 / 0687391033 📌 Sony HD Projector 📌Screen Display 100+ Inches 📌Lamp Hours 10000 📌lumens 3000 ( Inaonesha Hata Mchana ) Inafaa Kwenye Mikutano, Kufundishia Na Kuoneshea...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Graphic Card Nvidia RTX 2060 Super 8gb Nauza Tsh 600000/= laki sita inacheza games zote wakuu niwewe tuu na wale watu wa 3d hii ni fursa kwako chukua piga kazi kwa uhakika 0657977457 📍Dar es Salaam
1 Reactions
0 Replies
354 Views
Habari wana jukwaaa kama kichwa cha habari kilivoanza hapo juu nauza printer yangu nilokuwa na malengo ya kufanyia kazi ila kutokana na mambo kwenda vile nilivyopanga nimeona bora mali yangu...
0 Reactions
0 Replies
250 Views
Timberland loafers boat brown leather nilipatiwa kama zawadi tu sijakipenda == price 38,000 ( size 41 { au 10 } )
1 Reactions
27 Replies
991 Views
Back
Top Bottom