Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Vitu Used (ila kwa hali nzuri karibia na upya) vinauzwa!!!!! Mahali: Shinyanga Mjini Sababu ya kuuza: Nahama Mkoa 1/Dressing table (inahitaji kioo, rangi na vitasa)-mbao 2/Pasi ya umeme...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Aina - TOSHIBA storage - 1,000 GB location - Mwanza Price - 100K contacts - PM au 0628301473 NB- imejaa movie na series kali kibao Sent from my iPhone using JamiiForums
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza Komyuta (Desktop complete) Yenye Sifa zifuatazo. Core i5 @ 3.10 proccessor, 4GB RAM, 500GB HDD, 19" Monitor, keyboard and Mouse. Bei ni Tsh. 330,000/. Napatikana Dodoma mjini . Kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza adsense account ambayo imetoa pesa mara 3 inauzwa bei 500000 kama unahitaji piga simu no:0756855563
1 Reactions
2 Replies
857 Views
Jipatie tablet ya vodafone vfd 1100 iko katika hali nzuri mno,haina shida yeyote ni nzima kabisa kama unavyoiona kwenye picha, inakwenda kwa bei ya 100,000 mazungumzo yapo. Napatikana Mbeya...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Nauza MEMORY card ya simu for 35000tsh
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa. Location-Mbezi beach goig(nearby bagamoyo road and nearby massana hospital) plot size-sqrm 401 PRICE-150m Nyumba inahitaji marekebisho,japokuwa ipo eneo zuri. Kwa atakaekuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wadau nauza mashine ya kufua upepo (compressor) kubwa unaweza kutumika kwa ajili ya mining and construction projects. Details zake ni Engine ya Ford Piston 4 kubwa Kinu chake ni cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Inakaa na chaji siku nzima Unaichaji lisaa 1 tu Nakuletea ikiwa mpya Newfull box yaani saa yenyewe ikiwa na betri moja na USB tayari kwa matumizi Sim Card and Memory Card Unaweza kupiga na...
0 Reactions
3 Replies
942 Views
Kwa anayejua wapi naweza pata Tall Oil Rosin (TOR)/Gum Rosin anijuze kwa hapa Tanzania.
0 Reactions
0 Replies
455 Views
Nauza page ya fb ina followera 23500 ipo active kinomaa Sababu za kuuza:Nauzia shida tu ndugu zangu Sent using Jamii Forums mobile app Update:,imefikisha watu 24000
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Nauza Airpods na smart Bracelets kwa bei ya January 2020. CHECK ktk list then ufanye chaguzi ili tufanye biashara Upande wa Airpods Brand zilizopo ni hizi hapa QCY— QS2, T3 & T5 Bei ni —...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza sata HDD for desktop computer yenye uwezo wa 500gb. Kwa wapenzi wa nyimbo ina nyimbo zaid ya 12000, elfu kumi na mbili. Bongo fleva zote za zamani zote na za sasa Gospel zote Country...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Nauza simu aina ya Tecno Spark 2, bei 130,000/= ipo maeneo ya Mabibo, Dar, mawasiliano 0719464841 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Habarini,Wale wanaohitaji pikipiki used made in japan tuwasiliane tuanze na hii ya hapa Chini Type/Model of Motorcycle DT175 Yamaha Fuel used Petrol Engine capacity:171,two stroke Year of...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna shamba linauzwa lenye ekari 5.5 hectres, 2.5 hectares zimepandwa miti ya mwaka mmoja na sehemu iliobaki imesafishwa tayari kwa kilimo chochote. Eneo...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sofa Ya Watu Wawili Na Mito Yake Hiyo Hapo, Imetumika kwa Miezi 6 Bei: Tsh.220,000 Niko Dar Kigamboni, Sitaki Nikihama nibebe Vitu vyote Vya Ndani Mob:+255 718 295 182...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari wana Jf na wakazi wa Dodoma.! Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa, Tsh. 2000/= @ 1 litre Monthly Bills na Discount Kwa Maziwa mengi inapatikana. LOCATION: Dodoma Mjini Info; PM Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
958 Views
Njoo ujichukulie kabati la milago 3 bei ikiwa imepoa sawa na bure. Upana : Futi 4" 1' Urefu : Futi 6" 1' Milango : 3 Bei : Laki 2 na Nusu tu (Tshs.250,000.00) Kabati lina Kioo cha kujiweka sawa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mahitaji ya [emoji117]mashine [emoji117]magari [emoji117]pikipiki [emoji117]mbao [emoji117]mkaa Ntapokea asilimia tano ya mauziano kutoka kwa mnunuzi kama faida yangu. Pm UAMINIFU NI MTAJI
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom