Vitu Used (ila kwa hali nzuri karibia na upya) vinauzwa!!!!!
Mahali: Shinyanga Mjini
Sababu ya kuuza: Nahama Mkoa
1/Dressing table (inahitaji kioo, rangi na vitasa)-mbao
2/Pasi ya umeme...
Aina - TOSHIBA
storage - 1,000 GB
location - Mwanza
Price - 100K
contacts - PM au 0628301473
NB- imejaa movie na series kali kibao
Sent from my iPhone using JamiiForums
Jipatie tablet ya vodafone vfd 1100 iko katika hali nzuri mno,haina shida yeyote ni nzima kabisa kama unavyoiona kwenye picha,
inakwenda kwa bei ya 100,000 mazungumzo yapo.
Napatikana Mbeya...
Nyumba inauzwa.
Location-Mbezi beach goig(nearby bagamoyo road and nearby massana hospital)
plot size-sqrm 401
PRICE-150m
Nyumba inahitaji marekebisho,japokuwa ipo eneo zuri.
Kwa atakaekuwa...
Habari wadau nauza mashine ya kufua upepo (compressor) kubwa unaweza kutumika kwa ajili ya mining and construction projects.
Details zake ni
Engine ya Ford Piston 4 kubwa
Kinu chake ni cha...
Inakaa na chaji siku nzima
Unaichaji lisaa 1 tu
Nakuletea ikiwa mpya Newfull box yaani saa yenyewe ikiwa na betri moja na USB tayari kwa matumizi
Sim Card and Memory Card
Unaweza kupiga na...
Nauza page ya fb ina followera 23500 ipo active kinomaa
Sababu za kuuza:Nauzia shida tu ndugu zangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Update:,imefikisha watu 24000
Nauza Airpods na smart Bracelets kwa bei ya January 2020. CHECK ktk list then ufanye chaguzi ili tufanye biashara
Upande wa Airpods Brand zilizopo ni hizi hapa
QCY— QS2, T3 & T5
Bei ni —...
Nauza sata HDD for desktop computer yenye uwezo wa 500gb.
Kwa wapenzi wa nyimbo ina nyimbo zaid ya 12000, elfu kumi na mbili.
Bongo fleva zote za zamani zote na za sasa
Gospel zote
Country...
Habarini,Wale wanaohitaji pikipiki used made in japan tuwasiliane tuanze na hii ya hapa Chini
Type/Model of Motorcycle DT175 Yamaha
Fuel used Petrol
Engine capacity:171,two stroke
Year of...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kuna shamba linauzwa lenye ekari 5.5 hectres, 2.5 hectares zimepandwa miti ya mwaka mmoja na sehemu iliobaki imesafishwa tayari kwa kilimo chochote.
Eneo...
Sofa Ya Watu Wawili Na Mito Yake Hiyo Hapo, Imetumika kwa Miezi 6
Bei: Tsh.220,000
Niko Dar Kigamboni, Sitaki Nikihama nibebe Vitu vyote Vya Ndani
Mob:+255 718 295 182...
Habari wana Jf na wakazi wa Dodoma.!
Ninauza Maziwa ya ngombe wa kisasa, Tsh. 2000/= @ 1 litre
Monthly Bills na Discount Kwa Maziwa mengi inapatikana.
LOCATION: Dodoma Mjini
Info; PM
Natanguliza...
Njoo ujichukulie kabati la milago 3 bei ikiwa imepoa sawa na bure.
Upana : Futi 4" 1'
Urefu : Futi 6" 1'
Milango : 3
Bei : Laki 2 na Nusu tu (Tshs.250,000.00)
Kabati lina Kioo cha kujiweka sawa...
Mahitaji ya
[emoji117]mashine
[emoji117]magari
[emoji117]pikipiki
[emoji117]mbao
[emoji117]mkaa
Ntapokea asilimia tano ya mauziano kutoka kwa mnunuzi kama faida yangu.
Pm
UAMINIFU NI MTAJI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.